Hapa Duniani tunapita lakini, Kuna watu Wana/watakuwa na nafasi za kipekee mbinguni

Hapa Duniani tunapita lakini, Kuna watu Wana/watakuwa na nafasi za kipekee mbinguni

Ningependa watu wajuwe kuwa,

hizi ni siku za mwisho na hatuna garantii ya kizazi kingine mbele yetu
 
Asante kwa ujumbe mzuri!!
Amen,

Mungu akusaidie usiikose mbingu.

Hii kitu nilikuwa natafakari Sana, isome yote,


kama Mungu anajua mwisho wa dunia katika mtiririko wote, ni dhahiri kuwa atakuwa anajua pia mwanzo na mwisho wa kila mwanadamu katika mtiririko wote…


ikiwa na maana kuwa anajua ni yupi ataokolewa na yupi hataokolewa, ni yupi ataingia mbinguni na ni yupi hataingia mbinguni siku ya mwisho…


Na kama anayajua hayo ni dhahiri kuwa ni yeye huyo huyo ndiye anayechagua ni yupi ataokolewa na yupi hataokolewa..


Kwasababu Bwana Yesu mwenyewe alisema “Hakuna awezaye kuja kwangu asipovutwa na Baba yangu aliyenipeleka (Yohana 6:44)”. Kwahiyo ni Roho Mtakatifu ndiye anayemvuta mtu kwa MUNGU na sio mtu mwenyewe anayejipeleka kwa Mungu.

ko usishangae Kuna watu wanao hona upuhuzi na ushamba wa mambo ya Mungu.


Yawezekana wao ,walisha ondolewa kwenye mpango na wakaachwa wapotee zaidi


Usiwemo kati ya hao
 
Hakuna dhambi ambayo yesu kristo hakuifia

Ko usijilaumu , Mungu anachoitaji ni moyo wa kujutia ulicho fanya na moyo watoba na moyo wakutaka kubadilika na kuishi maisha mapya
 
Roho wa Mungu ndiye anayevuta watu waende kwa Mungu.

Ni ukweli kwamba Mungu hana upendeleo

Hivyo Roho wa Mungu anawavuta watu wote wenye akili timamu kwa Mungu.

Wenye kukubali wanaitikia wito, wenye kukataa hataitikia wito.

Mvuto upo kwa kila mtu, baada ya kuja Masihi sheria ya Mungu iliandika katika kila moyo. Inabaki utashi wako tu kukubali au kukataa!
 
Mungu yupo.

Anajifunuwa Kwa wenye moyo wa unyenyekevu na safi

Na anavutiwa na watu wenye Imani , ukisubiri mpaka umuone utakuwa ushachelewa.
.
IMG_20210924_074847.jpg
 
Dhambi ni kitu kibaya,

Soma ujumbe vema
Kuanzia naomba unitajia amri zote za Mungu siyo miungu au amri za makanisa.

Je, ulishakwenda na kurudi toka mbinguni ukakuta walevi na wazinzi wanateseka?

Vipi waongo na wanaojiita manabii wakati manabii walishamaliza kazi hawa wapo wapi?

Je, wavivu wa kutafuta kazi na kubakia kudandia kazi rahisi za kudanganya watu, hao watafikia wapi?

Wale wanaopaka watu mafuta ya ng'ombe na kusema ni uponyaji, maji ya mtoni na vikombe je hao vipi wanakwenda mbingu ipi??

Nasubiri majibu tafadhari.
 
Hizo nafasi za kipekee mbinguni ni zipi?

kiukweli kwenye dunia ambayo nimezaliwa na kukuta karibia watu woteeee wanaonizunguka wanafanya dhambi na imekuwa kama destuli mimi ni nani nisifanye pili huu ulimwengu nimeukuta wala sijawahi ona mwingine zaidi ya huu kwaiyo hayo yanaofata sidhani kama yananihusu pia Mungu sidhani kuwa anaongea na sisi maana nilikuwa namwomba anioneshe huko mbinguni au motoni na hakuna kilichotokea so ilive as i want mpaka pale litakapotokea jambo la kuniminisha ...
 
Kuanzia naomba unitajia amri zote za Mungu siyo miungu au amri za makanisa.

Je, ulishakwenda na kurudi toka mbinguni ukakuta walevi na wazinzi wanateseka?

Vipi waongo na wanaojiita manabii wakati manabii walishamaliza kazi hawa wapo wapi?

Je, wavivu wa kutafuta kazi na kubakia kudandia kazi rahisi za kudanganya watu, hao watafikia wapi?

Wale wanaopaka watu mafuta ya ng'ombe na kusema ni uponyaji, maji ya mtoni na vikombe je hao vipi wanakwenda mbingu ipi??

Nasubiri majibu tafadhari.
Kwanza nimeguswa na hoja zako,
Hasa kuhusu yanayoendelea NYAKATI HIZI, inasikitisha,

Kuhusu amri Soma,

Luka 10:27​

Yesu kristo Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”


Ningependa ufahamu kuwa yesu kristo hakuwacha Dini Wala thehebu aliacha zawadi ya wokovu Kwa Kila atakae mwamini.
Na miongozo ya namna ya KUHISHI baada ya kumuhamini,miongozo hiyo ilishushwa Kwa mitume wake 12 tu, nje ya hao , utakachofundishwa ni upotevu.

FUTA injili zote Anza na injili ya yesu kristo ,kupitia vitabu vinne vinavyo eleza Habari zake, mathayo ,Marko ,luka na yohana hakikisha una vielewa , maisha yako yote usiguse vitabu vingine Kama hujavielewa hivo vitabu vinne, maliza vya mitume wake na ndipo uwe huru ,

Na kitakacho kuokoka si kwakuwa uko thehebu Fulani au Dini Fulani mapokeo na taratibu zakidini au thehebu furani hazita kuokowa Bali injili ya kristo na mitume wake 12
 
Hizo nafasi za kipekee mbinguni ni zipi?

kiukweli kwenye dunia ambayo nimezaliwa na kukuta karibia watu woteeee wanaonizunguka wanafanya dhambi na imekuwa kama destuli mimi ni nani nisifanye pili huu ulimwengu nimeukuta wala sijawahi ona mwingine zaidi ya huu kwaiyo hayo yanaofata sidhani kama yananihusu pia Mungu sidhani kuwa anaongea na sisi maana nilikuwa namwomba anioneshe huko mbinguni au motoni na hakuna kilichotokea so ilive as i want mpaka pale litakapotokea jambo la kuniminisha ...

Rafiki nimeguswa na maelezo yako, naelewa nihali gani ilikuwa na Bado unayo ipitia

Na Mimi nimepita uko uko, Kuna wakati nilikaa nilijiuluza njia ipi ni sahihi, nilihanza kukusanya taharifa mbalimbali za nifanyeje niweze kuingia mbinguni na kumsihi Mungu anijibu nikajibiwa.

Tukianza Kwa Abrahamu,
Baba wa matahifa mengi hapa tunaona Wayahudi, wajerumani,waharabu na wahindi na nchi zinginezo kama zimezisshau hapo,

Ukicheki Agano la Mungu liliwekwa Kwa uzao wa mke wa kwanza wa ibrahimu , ambao ukitiririka na uzao wake utaikuta ahadi inatimia Kwa yesu kristo kuzaliwa na ndio asili ya Imani Kwa wakristo.

Ko waarabu ni Kwa yule mjakazi, ambaye Mungu hakuweka agano lake Kwa uzao wake .


Na kuhusu maisha ya utakatifu sio rahisi kwanguvu zako kushinda unamuhitaji yesu kristo abadili maisha yako.

Mungu anavutiwa na wenye Imani , wanao sitasita na waoga havutiwi nao
 
Hiro ni kweri mkuhu...mbiguni ni maari ambapo tunapasa kupapiganiha tuhede uko.
Aleluya mtomeshi.
 
Hiro ni kweri mkuhu...mbiguni ni maari ambapo tunapasa kupapiganiha tuhede uko.
Aleluya mtomeshi.

Ufunua wa Yohana 22:12
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu kristo anasema​

12 “Tazama, Ninakuja upesi! Nakuja na tuzo yangu, nimpe tuzo kila mtu kulingana na matendo yake.


Hizi ni Kama mbio Kila mtu anakimbia kwenye MSTARI wake

Kuna wanao kimbizana na ya
dunia , starehe na anasa

Na

Kuna wanao kimbizana na mambo ya kiroho

Mwisho wa siku ,Kila mtu atapewa tuzo yake, na kunawale watakaopewa Asante Kwa kushiriki .
 
Muhubiri anatuambia kwa lugha ya mafumbo kuwa 'the game is rigged'.



Screenshot_20220529-114703.jpg



Naye Bwana wetu Yesu Kristo anasema...


Screenshot_20220529-115315.jpg
 
Kwanza nimeguswa na hoja zako,
Hasa kuhusu yanayoendelea NYAKATI HIZI, inasikitisha,

Kuhusu amri Soma,

Luka 10:27​

Yesu kristo Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote. Na, mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.”


Ningependa ufahamu kuwa yesu kristo hakuwacha Dini Wala thehebu aliacha zawadi ya wokovu Kwa Kila atakae mwamini.
Na miongozo ya namna ya KUHISHI baada ya kumuhamini,miongozo hiyo ilishushwa Kwa mitume wake 12 tu, nje ya hao , utakachofundishwa ni upotevu.

FUTA injili zote Anza na injili ya yesu kristo ,kupitia vitabu vinne vinavyo eleza Habari zake, mathayo ,Marko ,luka na yohana hakikisha una vielewa , maisha yako yote usiguse vitabu vingine Kama hujavielewa hivo vitabu vinne, maliza vya mitume wake na ndipo uwe huru ,

Na kitakacho kuokoka si kwakuwa uko thehebu Fulani au Dini Fulani mapokeo na taratibu zakidini au thehebu furani hazita kuokowa Bali injili ya kristo na mitume wake 12
Naona hujanijibu maswali yangu. Amri kuu alitupa je, hiyo amri mbona haina hivi vyote unavyogusia kuhusu ulevi, uzinzi na vingine. Mbona Yesu hakuhukumu mtu yeyote hata watesi wake?
Kuhubiri maneno mengi kunafanya watu wachoke kusikiliza au kusoma maandishi.

Toa mistari kulingana na Agano jipya ambao Yesu alikuja kupindua yale ya kale. Onyesha mwenyewe msurubiwa alipotaja dhambi zote hizo kama siyo kusoma kwenye mahubiri ya mitume ambao wenyewe walikuwa wakosefu kama Saul.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Rafiki nimeguswa na maelezo yako, naelewa nihali gani ilikuwa na Bado unayo ipitia

Na Mimi nimepita uko uko, Kuna wakati nilikaa nilijiuluza njia ipi ni sahihi, nilihanza kukusanya taharifa mbalimbali za nifanyeje niweze kuingia mbinguni na kumsihi Mungu anijibu nikajibiwa.

Tukianza Kwa Abrahamu,
Baba wa matahifa mengi hapa tunaona Wayahudi, wajerumani,waharabu na wahindi na nchi zinginezo kama zimezisshau hapo,

Ukicheki Agano la Mungu liliwekwa Kwa uzao wa mke wa kwanza wa ibrahimu , ambao ukitiririka na uzao wake utaikuta ahadi inatimia Kwa yesu kristo kuzaliwa na ndio asili ya Imani Kwa wakristo.

Ko waarabu ni Kwa yule mjakazi, ambaye Mungu hakuweka agano lake Kwa uzao wake .


Na kuhusu maisha ya utakatifu sio rahisi kwanguvu zako kushinda unamuhitaji yesu kristo abadili maisha yako.

Mungu anavutiwa na wenye Imani , wanao sitasita na waoga havutiwi nao
Ok basi sawa
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Asante kwa kukazia

Ufunua wa Yohana 22:12
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu mwenyewe anasema

12 “Tazama, Ninakuja upesi! Nakuja na tuzo yangu, nimpe tuzo kila mtu kulingana na matendo yake.
 
Mtoa mada kwani wewe ni mchungaji, unasli wapi?
Mimi ni mwamini tu,

Niliguswa na ujumbe wako,

Ya kukuongezea, ni kuwa Duniani hatuna muda kabisa

Tuzo yako , kwenye mshahara ule ambao Kila mtu ata upokea upo kwenye Yale UTAKAYO TENDA NA SIO ULIOTENDEWA,

ULIOTENDEWA ,ATALIPA MWENYEWE MUNGU KWA NIABA YAKO KWA HAO WALIO KUTENDEA,

UKIJICHUKULIA HATUA KUlIPA, TEARI KULE ISHAREKODIWA UNAKUWA UNAJIONGEZEA MATUKIO ,

ILA YALE ATAYOKULIPA MWENYEWE MIKONONI MWAKO KAMA MSHAHARA WAKO ,KITACHO ANGALIWA NI KWA ULIO TENDA WEWE.

ÀINA KUU MBILI YA CHIMBUKO LA MATENDO NDANI YA MTU

1.Kuna matendo ya NDANI YAKO ,

Haya ni Yale matendo ambayo hayaonekaniki Wala kugusika ,mfano , chuki,hasira,wivu ,uchungu , unafiki wa ndani , kuong'ong'a mtu Kwa ndani ,uchungu ,kisasi wa kisasi ulio ndani Bado hajaonekana Kwa njee Kwa matendo na kiu ya dhambi,mawazo mabaya, mipango yote miovu,

Sasa hizo dhambi zisizo onekana zinahifadhiwa kwenye moyo Kwa stoho na mawazo Kama SEHEMU yanapozaliwa.

Kuna uchoyo - tumbo , ubinafsi hii kutokana na kiwango kidogo Cha kujuwa mahana harisi ya maisha kiroho sio kimwili.

Ko maeneo yakushugurikia dhambi za ndani kwenye maombi yako ni hayo;

Moyo,mawazo,tumbo,fikra ,kiwango kidogo Cha ufahamu wa mambo ya kiroho Kwa kutokuwa mtafiti na kukusanya taarifa sahihi za kutosha.


2./Dhambi za NJEE

Hizi ni zile dhambi zinazo onekana na Kila mtu hata mwenyewe utandaye unakuwa unaziona na kujijuwa,na zinashikika ,
mfano
Dhambi hizo ni ;;

Utokozi wizi ufisadi ,uasherati,kujichuwa,uzinzi,ulevi,ukahaba ,rushwa atowae na apokeaye zipo nyingi tu zote ambazo zinaonekanika na hata hii kuhabudu sanamu Soma

Kutoka 20:4

Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia


Mwanadamu ana mwili nafsi na roho ,kati ya mwili na roho Kuna nafsi ibebayo tabia ya mtu ,na

kati ya hiyo nafsi na roho Kuna moyo, ko moyo ni Kama daraja la vya rohoni kufikia kwenye nafsi , ko Mungu anapotaka kuhisha Roho yako na kukufunulia ya rohoni kukufikia inatagemea na moyo wako,koyo ni daraja yaweza ikawa SEHEMU ya kuzuiya ya rohoni hata lile ulilomuomba Mungu.

Likishafika kwenye nafsi utendaji wa mwili unabadilika unakuwa mtakatifu.

Lakini kwanza lazima ujiungamanishe na Mungu,Kwa kumpokea yesu kristo sio tu Aishi na wewe Bali aingie ndani yako na ufanywe upya Kwa kuzaliwa Mara ya pili, yaani hio ni sawa na kuweka raini ili vya rohoni vikufikie.

Unajisajiri ,kuwa na wewe unaamini ungetamani kuwa mwana wake Mungu, ndio atakuonyesha Mengi usiyoyafahamu
 
Back
Top Bottom