Hapa Duniani tunapita lakini, Kuna watu Wana/watakuwa na nafasi za kipekee mbinguni

Hapa Duniani tunapita lakini, Kuna watu Wana/watakuwa na nafasi za kipekee mbinguni

Mimi ni mwamini tu,

Niliguswa na ujumbe wako,

Ya kukuongezea, ni kuwa Duniani hatuna muda kabisa

Tuzo yako , kwenye mshahara ule ambao Kila mtu ata upokea upo kwenye Yale UTAKAYO TENDA NA SIO ULIOTENDEWA, ULIOTENDEWA ,ATALIPA MWENYEWE MUNGU KWA NIABA YAKO KWA HAO WALIO KUTENDEA, UKIJICHUKULIA HATUA TEARI KULE ISHAREKODIWA UNAKUWA UNAJIONGEZEA MATUKIO ,ILA YALE ATAYOKULIPA MWENYEWE MIKONONI MWAKO KAMA MSHAHARA WAKO ,KITACHO ANGALIWA NI KWA ULIO TENDA WEWE.
Ninaswali wani Mungu hujibuje?
 
Ninaswali wani Mungu hujibuje?
Lazima ujiunge,yaani aingie maishani mwako kwanza,

Hii ni Kama raini ya simu ,Kuna mitandao mingi ,mtandao utakao jiunga ,ndio huwo utapata taarifa ,ofa zake na vifurushi vyake.

Ko ili kupokea taarifa zake Mungu kukujilia nilazima uliunge ,uwe mwana wake . Ndipo hapo utaanza kupokea ujumbe ,taarifa na n.k zinazo Muhusu Mungu

Sisi wanadamu tuko kwenye phase ya tabia ,yaani anataka tufanane na mwana wake wa pekee yesu kristo .

Nguvu ya Roho mtakatifu ndiyo inayomzaha mtu Mara ya pili pale mtu anapo mwamini kristo, atakuwa mwana wa Mungu

Kuhusu Mungu kujifunua au kujidhihilisha kwako au kukujibu kwake inatemea na kiwango chako Cha ukaribu wako kwake na kiwango chako Cha ufahamu wa mambo ya rohoni.

Mungu anajibu Kwa njia nyingi hizi ni baadhi ndoto,maono ,sauti ya ndani yako, mawazo , hata waziwazi hii inategemea na ukaribu wako kwake na neema na n.k
 
Duniani hatuna muda kabisa

Tuzo yako , kwenye mshahara ule ambao Kila mtu ata upokea upo kwenye Yale UTAKAYO TENDA NA SIO ULIOTENDEWA,

ULIOTENDEWA ,ATALIPA MWENYEWE MUNGU KWA NIABA YAKO KWA HAO WALIO KUTENDEA,

UKIJICHUKULIA HATUA KUlIPA, TEARI KULE ISHAREKODIWA UNAKUWA UNAJIONGEZEA MATUKIO ,

ILA YALE ATAYOKULIPA MWENYEWE MIKONONI MWAKO KAMA MSHAHARA WAKO ,KITACHO ANGALIWA NI KWA ULIO TENDA WEWE.

ÀINA KUU MBILI YA CHIMBUKO LA MATENDO NDANI YA MTU

1.Kuna matendo ya NDANI YAKO ,

Haya ni Yale matendo ambayo hayaonekaniki Wala kugusika ,mfano , chuki,hasira,wivu ,uchungu , unafiki wa ndani , kuong'ong'a mtu Kwa ndani ,uchungu ,kisasi wa kisasi ulio ndani Bado hajaonekana Kwa njee Kwa matendo na kiu ya dhambi,mawazo mabaya, mipango yote miovu,

Sasa hizo dhambi zisizo onekana zinahifadhiwa kwenye moyo Kwa stoho na mawazo Kama SEHEMU yanapozaliwa.

Kuna uchoyo - tumbo , ubinafsi hii kutokana na kiwango kidogo Cha kujuwa mahana harisi ya maisha kiroho sio kimwili.

Ko maeneo yakushugurikia dhambi za ndani kwenye maombi yako ni hayo;

Moyo,mawazo,tumbo,fikra ,kiwango kidogo Cha ufahamu wa mambo ya kiroho Kwa kutokuwa mtafiti na kukusanya taarifa sahihi za kutosha.


2./Dhambi za NJEE

Hizi ni zile dhambi zinazo onekana na Kila mtu hata mwenyewe utandaye unakuwa unaziona na kujijuwa,na zinashikika ,
mfano
Dhambi hizo ni ;;

Utokozi wizi ufisadi ,uasherati,kujichuwa,uzinzi,ulevi,ukahaba ,rushwa atowae na apokeaye zipo nyingi tu zote ambazo zinaonekanika na hata hii kuhabudu sanamu Soma

Kutoka 20:4

Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia


Mwanadamu ana mwili nafsi na roho ,kati ya mwili na roho Kuna nafsi ibebayo tabia ya mtu ,na

kati ya hiyo nafsi na roho Kuna moyo, ko moyo ni Kama daraja la vya rohoni kufikia kwenye nafsi , ko Mungu anapotaka kuhisha Roho yako na kukufunulia ya rohoni kukufikia inatagemea na moyo wako,koyo ni daraja yaweza ikawa SEHEMU ya kuzuiya ya rohoni hata lile ulilomuomba Mungu.

Likishafika kwenye nafsi utendaji wa mwili unabadilika unakuwa mtakatifu.

Lakini kwanza lazima ujiungamanishe na Mungu,Kwa kumpokea yesu kristo sio tu Aishi na wewe Bali aingie ndani yako na ufanywe upya Kwa kuzaliwa Mara ya pili, yaani hio ni sawa na kuweka raini ili vya rohoni vikufikie.

Unajisajiri ,kuwa na wewe unaamini ungetamani kuwa mwana wake Mungu, ndio atakuonyesha Mengi usiyoyafahamu
 
Lazima ujiunge,yaani aingie maishani mwako kwanza,

Hii ni Kama raini ya simu ,Kuna mitandao mingi ,mtandao utakao jiunga ,ndio huwo utapata taarifa ,ofa zake na vifurushi vyake.

Ko ili kupokea taarifa zake Mungu kukujilia nilazima uliunge ,uwe mwana wake . Ndipo hapo utaanza kupokea ujumbe ,taarifa na n.k zinazo Muhusu Mungu

Sisi wanadamu tuko kwenye phase ya tabia ,yaani anataka tufanane na mwana wake wa pekee yesu kristo .

Nguvu ya Roho mtakatifu ndiyo inayomzaha mtu Mara ya pili pale mtu anapo mwamini kristo, atakuwa mwana wa Mungu

Kuhusu Mungu kujifunua au kujidhihilisha kwako au kukujibu kwake inatemea na kiwango chako Cha ukaribu wako kwake na kiwango chako Cha ufahamu wa mambo ya rohoni.

Mungu anajibu Kwa njia nyingi hizi ni baadhi ndoto,maono ,sauti ya ndani yako, mawazo , hata waziwazi hii inategemea na ukaribu wako kwake na neema na n.k
Sielewi bora tu nifuate Akili japo moyo unakataa nilikua mwamini mzuri niliona kweli Mungu anafanya kwangu mpaka kwenye gari watu wamesimama mtu anakupisha nilikua nasikia sauti juu ya mengi lakini nimeamua kuyapuuuza japo bado inanijia

Najihisi mwenye hatia lakini kuna nguvu inayonishawishi
 
Sielewi bora tu nifuate Akili japo moyo unakataa nilikua mwamini mzuri niliona kweli Mungu anafanya kwangu mpaka kwenye gari watu wamesimama mtu anakupisha nilikua nasikia sauti juu ya mengi lakini nimeamua kuyapuuuza japo bado inanijia

Najihisi mwenye hatia lakini kuna nguvu inayonishawishi
Unapo ruhusu ya Dunia yatawale maisha yako na kuweka mbali mambo ya kiroho

Taratibu Ile sauti ya ndani yaani hofu ya Mungu ,inapungua, itafika HATUA utaona mambo ya Mungu ni kawaida na upuhuzi ,utaanza kuishi maisha ya bora liende.

Ndio maana niliposoma ujumbe wako nikajuwa uko kwenye wakati gani kiroho.
 
Ishini Kama watu walio na Muda mchache Sana,

Wajanja Hawa endi na wakati na namna ya kidunia,

Wao WANAKIMBIZANA KUHUKOMBOWA WAKATI
 
Unapo ruhusu ya Dunia yatawale maisha yako na kuweka mbali mambo ya kiroho

Taratibu Ile sauti ya ndani yaani hofu ya Mungu ,inapungua, itafika HATUA utaona mambo ya Mungu ni kawaida na upuhuzi ,utaanza kuishi maisha ya bora liende.

Ndio maana niliposoma ujumbe wako nikajuwa uko kwenye wakati gani kiroho.
sawasawa
 

Shambulia mafundisho ya kiroho mbalimbali ,na maombi ya toba mbele za Mungu wako .

Weka Nia ya dhati ya kutaka kubadilika

Na weka mikakati ya KIUTEKELEZAJI ya kubadilika na umahirikiahe Mungu .

Unaposoma neno langu Kwa raundi kadhaa, awamu ya kwanza chambuwa vyakufanya na vyakuto kufanya andikwa kwenye daftari lako

Awamu zinginezo unaweza Tafuta maandiko ya ukili maandiko ya kusimamiaga ukiwa kwenye maombi,

Na awamuzingine utajipangia utataka kuchambuwa Nini Kila awamu


Na weka mpango na ratiba nzuri ya mambo ya kiroho mwaka mzima ,
Mfano mwezi Fulani nitashambulia vitabu audio na video za mafundisho ya unyenyekevu, mwezi Fulani unashambuli vyakutosha mafundisho ya maombi ya vita na ya kawaida aina za maombi na n.k
Mwezi Fulani Roho mtakatifu ,na mwenzi mwengine mafundisho ya utakatifu na kuwa mtu wa tabia njema

Mambo mengi tu unaweza kupanga na mambo yakipyuzi uyapoteze ,Yale mambo yatakayo kula Muda wako

Penda kufuatilia watumishi wanaofundisha namna ya kuishi maisha ya utakatifu,anaye onya dhambi,

Achana na watu mishi walio egemea kutwa mafundisho ya mafanikio japo na yenye Yana nafasi yake na Muda wake

Mafundisho ya mafanikio hayatakusaidia kukuwa kiroho , maana ni kwaajili ya wewe kupata vya mwilini tu basi

Shambulia mafundisho ya kupata vya rohoni,maana vitakusaidia kukuwa kiroho,

Kasi yako ya kushambulia mafundisho ya kiroho ndio Kasi hiyohiyo itakayo kusogeza karibu na Mungu ndio hapo ataanza kukufunulia usivi vijua, ili kukuza Imani yako kwake na Kwa kadiri ya kiu yako kwake na uwaminifu wako kwake ndipo atapofunua macho yako yaone ya rohoni , ulipokuwa ukisimuliwa unayaina waziwazi ,Kwa kadili utavyokuwa mwaminifu zaidi utajuzwa makubwa zaidi

Na kupata tuzo kubwa baada ya maisha haya ya duniani
 
Shambulia mafundisho ya kiroho,shida mbalimbali ,maombi ya toba mbele za Mungu wako mwenye,

Weka Nia ya dhati ya kutaka kubadilika

Na weka mikakati ya KIUTEKELEZAJI.

Na weka mpango na ratiba nzuri ya mambo ya kiroho mwaka mzima ,
Mfano mwezi Fulani nitashambulia vitabu audio na video za mafundisho ya unyenyekevu, mwezi Fulani unashambuli vyakutosha mafundisho ya maombi ya vita na ya kawaida aina za maombi na n.k
Mwezi Fulani Roho mtakatifu ,na mwenzi mwengine mafundisho ya utakatifu na kuwa mtu wa tabia njema

Mambo mengi tu unaweza kupanga na mambo yakipyuzi uyapoteze ,Yale mambo yatakayo kula Muda wako

Penda kufuatilia watumishi wanaofundisha namna ya kuishi maisha ya utakatifu,anaye onya dhambi,

Achana na watu mishi walio egemea kutwa mafundisho ya mafanikio japo na yenye Yana nafasi yake na Muda wake

Mafundisho ya mafanikio hayatakusaidia kukuwa kiroho , maana ni kwaajili ya wewe kupata vya mwilini tu basi

Shambulia mafundisho ya kupata vya rohoni,maana vitakusaidia kukuwa kiroho,

Kasi yako ya kushambulia mafundisho ya kiroho ndio Kasi hiyohiyo itakayo kusogeza karibu na Mungu ndio hapo ataanza kukufunulia usivi vijua, ili kukuza Imani yako kwake na Kwa kadiri ya kiu yako kwake na uwaminifu wako kwake ndipo atapofunua macho yako yaone ya rohoni , ulipokuwa ukisimuliwa unayaina waziwazi ,Kwa kadili utavyokuwa mwaminifu zaidi utajuzwa makubwa zaidi

Na kupata tuzo kubwa baada ya maisha haya ya duniani
Unanimotevate sana je? nikifanya yote ila nisipokwenda kanisani ni sawa, nikasikiliza tu mahubiri?
 
Unanimotevate sana je? nikifanya yote ila nisipokwenda kanisani ni sawa, nikasikiliza tu mahubiri?
Yaani ifanye neno la Mungu biblia, maagizo ya Mungu

Kuwa ndio lifestyle yako ndio kacha yako, ndio tamaduni na desturi yako ,

Usifuate mapokeo na taratibu za kidini , mtazame kristo pekee na Maagizo yake mfano alisema ukisali Sali Kwa kutumia jina langu na yeye muombezi, lakini mapokeo Yanasema vitu vingine , ndio maana usikilize mapokeo na taratibu za kithehebu za kikristo

Fuata neno la Mungu linasemaje tu, mfano usinywe pombe ,usiabudu sanamu, usizini,uasherati , na Achana na chochote KITACHO kuwamasisha kuludia huko

Tambua Roho mtakatifu ndio Muombezi ,anatuombea Kwa kuuguwa na sio maria

Liishi neno la Mungu kuanzia Sasa mpaka kifo chako Kwa uwaminifu bila kuwangalia jamii inayokuzunguka

Na jamii yako inapaswa ijufunze kupitia wewe na siwewe wakufundishe wao


Mitume walikusandika,na imeandikwa msihache kukusanyika,

Ni vema kushiriki ibada
 
Yaani ifanye neno la Mungu biblia, maagizo ya Mungu

Kuwa ndio lifestyle yako nio kacha yako, ndio tamaduni na desturi yako ,

Usifuate mapokeo na taratibu za kidini

Fuata neno la Mungu linasemaje, mfano usinywe pombe ,usiabudu sanamu, usizini,uasherati , na Achana na chochote KITACHO kuwamasisha kuludia huko

Liishi neno la Mungu kuanzia Sasa mpaka kifo chako Kwa uwaminifu bila kuwangalia jamii inayokuzunguka

Na jamii yako inapaswa ijufunze kupitia wewe na siwewe wakufundishe wao


Mitume walikusandika,na imeandikwa msihache kukusanyika,

Ni vema kushiriki ibada
poapoa
 
Nimegunduqawa dhambi zote za ndani yako na nje, lazima zipitie mchato ama kipengele Cha tafakari

Tafakari ni eneo hatari hasa Kama halija kombolewa Kwa nguvu za Mungu ili mtu uwe na tafakari safi.
 
Wenye kiu ya ndani ya kuacha dhambi, muda ni Sasa ,nakushauri acha dhambi ,
 
Nawasihi ,

Wenye kiu ya ndani ya kuacha dhambi, muda ni Sasa ,nakushauri acha dhambi
 
Back
Top Bottom