Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadhria ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Hzo ni hadithi tu tafuta mtu Jf nzima kama kuna aliyekutana na jini ata mmoja nakupa Mia.Mtu kajifugia zake majini ww unahoji
Acha ufala pangisha hiyo nyumbaKuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadhria ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Majini hayakai mahala pachafuMtu kajifugia zake majini ww unahoji
UmerogwaMimi Nina nyumba miaka 5 sijawahi kwenda na ilikamilika haishi mtu yeyote!!
Kwanini hujafikiria kuwa Mwenye nyumba yupo inje ya inchi,? Umefikiria kuwa kafariki au yupo jela?
Sasa haya yote yanatoka wapi😂Wewe hamia yatakuwa ndio mahari yako hayo, mwenyewe atakaporudi anakuoa kiroho safi.
We ni mwiziKwa nyumba sijui ipoje ila kwa kiwanja afadhali
Mi nilijipatia kiwanja kwa namna hiyo
Kilikuwa ubavuni kwangu na mwenyewe hakuwahi kuonekana
Nikaenda ardhi nikawaeleza wakaniambia kasafishe kwanza ukiona kimya weka msingi tulia
Nilifanya hivyo na hakutokea mtu lakini palikuwa ma tofali 12 pale chini
Baada ya mwaka nikaenda ardhi nikawaeleza wakanipa offer/hati na hadi leo napamiliki
😂 Sahivi unawaza ndoa ndoa tu!Wewe hamia yatakuwa ndio mahari yako hayo, mwenyewe atakaporudi anakuoa kiroho safi.
Mbona yanakaa chooni na mistuniMajini hayakai mahala pachafu
Kweli. Huyu karogwa Ila yeye hajijuiUmerogwa
Itakuwa umri umesonga sana hivyo yuko desperate na ndoa. Anatafuta mwanaume yeyote ili mradi anapumua.😂 Sahivi unawaza ndoa ndoa tu!
We ni mwizi
Mkuu unajaribu kumshauri nini mdau😅😅Ngoja niwape kisa kimoja
Kuna jamaa zangu Mzee wao alifariki akawa amewaachia nyumba za urithi, sasa baada ya miaka mingi kupita Kuna nyumba walikua wanaiuza. Katika kupekua mafaili wakampa mnunuzi document ili ajiridhishe. Yule mnunuzi kaenda ardhi anakuta ile document ni ya nyumba nyingine kabisa tofauti na ile aliyopanga kununua
Akajulisha jamaa wakamtaftia document sahihi wakafanya biashara. Sasa jamaa wakaanza kujiuliza hii document ya mara ya kwanza ni ya wapi mbona hii nyumba hatuijui. Wakafatilia kushirikiana na ardhi mpaka kwenye Hio nyumba, wakamkuta Mzee mmoja anaishi hapo baada ya kumhoji Mzee akadai alipewa Hio nyumba Aishi na Mzee mmoja ila ana miaka mingi hawajawasiliana na hajui hata yupo wapi.
Jamaa wakawa wamepata nyumba nyingine kilaini kabisa na hakuna aliyekua anaijua.
Acha wizi mkuuKwa nyumba sijui ipoje ila kwa kiwanja afadhali
Mi nilijipatia kiwanja kwa namna hiyo
Kilikuwa ubavuni kwangu na mwenyewe hakuwahi kuonekana
Nikaenda ardhi nikawaeleza wakaniambia kasafishe kwanza ukiona kimya weka msingi tulia
Nilifanya hivyo na hakutokea mtu lakini palikuwa ma tofali 12 pale chini
Baada ya mwaka nikaenda ardhi nikawaeleza wakanipa offer/hati na hadi leo napamiliki