Ndio maana wengine ndoa hatutaki.Hawa ndiyo wengi. Wanahonga viben ten
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utashangaa kuna watu wanaishi humo ila wewe huwaoni. Jichanganye
Lazima ije ilete shida, yaan mtu kutokua appear kwenye site yake kwa kipind hicho tu cha mwaka mmoja mate yamekutoka,Kwa nyumba sijui ipoje ila kwa kiwanja afadhali
Mi nilijipatia kiwanja kwa namna hiyo
Kilikuwa ubavuni kwangu na mwenyewe hakuwahi kuonekana
Nikaenda ardhi nikawaeleza wakaniambia kasafishe kwanza ukiona kimya weka msingi tulia
Nilifanya hivyo na hakutokea mtu lakini palikuwa ma tofali 12 pale chini
Baada ya mwaka nikaenda ardhi nikawaeleza wakanipa offer/hati na hadi leo napamiliki
hembu itwae hata kwa wiki moja tu, ili tujiridhishe kama yupo au hayupo...Kuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Hawa huwa wanaingiza watu chakaKapige ramli kwanza tuanzie apo kalimanzila anasemaje
Jitwalie upangishe ule ela BwasheheKuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Hii ya kupiga bei wajanja wanasema, mnunuzi anaweza kwenda ardhi halafu akabainika mmiliki siyo mm. Nitaumbuka.
Nyaraka za nyumba tutazipata wapi?Nielekeze ilipo tukaikopee mihela Equity πππ
Teh teh teh teh dah! Ndo umemuozesha hapo sasa?!Wewe hamia yatakuwa ndio mahari yako hayo, mwenyewe atakaporudi anakuoa kiroho safi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki ila watu!Ni Ile nyumba yako ya Majohe?!
Kikubwa awe na tako tu nyumba anapewa hiyoTeh teh teh teh dah! Ndo umemuozesha hapo sasa?!