lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,651
- 7,299
Kwanini? Ili Hali majirani tunawasiliana bila shidaUmerogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini? Ili Hali majirani tunawasiliana bila shidaUmerogwa
Mtoto halali na hela kuna madhara gani endapo nitajitwalia hii nyumba?Baki tu ulipo, usiingie hiyo nyumba
Majirani wananilindia na mawasiliano yapoUmewajengea majini waishi humo?
Nyumba yoyote iliyotelekezwa huwa ni nyumba ya majini na siku ukijichanganya kwenda kuingia katika makazi hayo jua utakutana na visanga mpaka utatamani kukimbia. Hata nyumba tunashauriwa tusijenge ya vyumba vingi ambavyo havitakuwa na matumizi matokeo yake huwa unakaribisha majini yaishi humo
Usiulize nyaraka,,,ukiweza kufungua milango nistue😁Nyaraka za nyumba tutazipata wapi?
Kama unataka kuishi na majini, twaa jengo hilo.Kuna nadharia mbili hapa.
1. Yawezekana mmiliki alikuwa anamjengea mchepuko. Ili siku moja aje amfanyie surprise. Lkn kabla ya surprise jamaa akapata ugonjwa ama ajali na kufariki. Kwahiyo si mchepuko wala familia waijuao nyumba hii.
2. Mmiliki alipoikamilisha alipiga kifungo cha miaka 30 au zaidi jela.
Je, nijitwale hii nyumba? Vipi kama nadharia ya 2 ndiyo sahihi? Akitoka jela na kurudi uraiani itakuwaje? Ingawa kuna usemi wa kiswahili unanipa moyo "cha kuokota siyo cha kuiba, mwenye mali mpumbavu".
Mtu mwenyewe avatar yake ni sexless ataolewaje?Ipo siku wenye nyumba watakuja tu, usiingie hovyo waweza kupata kesi ya trespassing.
Basi jiokotee tu nyumba 🤣How mkuu? Mwenyewe haonekani, mwaka wa 10 huu?
Kuna mtu atakuja kusema ni dhulma!Mungu kakupa hiyo nyumba utunze hao wazee.Mwaka 2009 tulienda na rafiki yangu Bunju kununua Viwanja,tukaanza kujenga mdogomdogo lakini rafiki yangu (RIP)alijenga fasta ikabaki kupaua tu(kumbuka wote tulikuwa mabachela). Siku moja anatoka site akapata ajali Tegeta(aligongana na Lori),alifariki palepale. Huyu rafiki yangu tulikuwa tumepanga nyumba moja Sinza(yeye Chumba chake,mimi changu lakini sebule,jiko nk tunashea. Tangu tunanunua Viwanja mpaka anafariki hakuna aliyewahi kumpeleka site ndugu,rafiki wala jamaa. Hivyo nyumba niliiokota kwa style hiyo,niliipaua,nikaifanyia finishing na sasa nakula Kodi. Lakini kwa kuwa tulikuwa tumeshibana sana hivyo huwa najitajidi kuwatumia Pesa Wazazi wake Moshi kila mwezi,na wamekuwa kama Wazazi wangu na wananiita mwanao.
SWALI KWA NINI SIKUIPA TAARIFA FAMILIA HIYO?huyu Marehemu rafiki yangu ndie aliyekuwa amesoma kwao,Kaka na Dada zake wote ni wale waleviwalevi waliojichokea tu,hivyo kama ningetoa taarifa naamini wangeshauri nyumba iuzwe tu wapate Pesa ya kunywea pombe. Tangu niikamilishe mwaka 2011 mpaka leo nakula Kodi tu,Hati nilishaipata kwa jina langu na maisha yanasonga.
🤣🤣🤣Chukua nyumba hiyo
Kwani majini hayana nyumba zao huko ujinini?yaache kuzinguaAbandoned house itiazame nyumba vizuri je imechakaa kama haijachakaa basi juwa kuna roho umo zinaishi, ukitaka kuiokota anza kuibadili rangi paka rangi mpya alafu tulia ila umo akukosi majini na kuwaamisha hivi hivi sio rahis mpka mwenye mji aje
Hapo kwenye kuuza sasa ndio mtihani, documents ziko wapiWe nae punguza uoga...uza🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huo ugomvi kaka, povu lake utaliweza wakija
Jini gani hilo ambalo haliogopi jina la Yesu?. Kwa nini kujitia hofu wakati Yesu yupo?. Au unadhani Yesu alikuja duniani kuzurura?.Umewajengea majini waishi humo?
Nyumba yoyote iliyotelekezwa huwa ni nyumba ya majini na siku ukijichanganya kwenda kuingia katika makazi hayo jua utakutana na visanga mpaka utatamani kukimbia. Hata nyumba tunashauriwa tusijenge ya vyumba vingi ambavyo havitakuwa na matumizi matokeo yake huwa unakaribisha majini yaishi humo