Hapa Kuna Siri gani kuhusu ukiwa na hela unapoteza shauku ya Kupata kitu mfano swala la kuoa Mtu ukipata hela unalisahau kama huwa lipo.?

Hapa Kuna Siri gani kuhusu ukiwa na hela unapoteza shauku ya Kupata kitu mfano swala la kuoa Mtu ukipata hela unalisahau kama huwa lipo.?

PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
Aise!
 
PESA NI FIMBO

Ukiwa huna pesa unadharaulika na kila kitu. Iwe watu, wadudu, njaa pamoja na nyege zitakuona kama fala fulani hivi.

Ukiwa huna pesa, njaa zinakufata hapohapo ulipo zinakuchezea mpaka sharubu sababu zinajua huna cha kuzifanya. Ila kama AKAUNTI ZINASOMA, HATA ZENYEWE ZITAONA (In Diamond's voice) zitakaa mbali sababu utazihukumu kikatili, utazisulubu na mapaja ya kuku, mapizza, mapilau n.k

nyege pia zitaenda Futi efu nne sababu zinajua utazipa hukumu ya kiyakuza, kama ni mnyama utakuwa unamchinjia nyuma ya shingo
Umenena vyema sana.
 
Upo sahihi mfano mimi kipindi sina pesa nilikuwa napenda sana kuvaa nguo mpya karibia kila wiki.. ila kwa sasa nimepoteza hamasa kabisa ya kupenda kuvaa nguo mpya na uwezo wa kununua ninao
 
Back
Top Bottom