The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe Pimbi,hao wayahudi wamewafukuza waandishi wa habari wote ili kuficha aibu ya vichapo wanavyopokea,Shambulizi la Israel madhara yake tumeyaonaView attachment 3098888
Shambulizi la kombora la Yemen limeua nyasi na vichaka.
Alafu uwezo wa Israel unauita "kusaidiwa na wanafiki". Kwanini nanyinyi msitafute wanafiki wawasaidie.
kwani wewe una ugomvi na israel?sisi wengine ni waisrael wa buza kindakindaki.Kwa maana hiyo siku hizi tuwache kutumia bidhaa zenye mafungamano na Israel. Kama hatuwezi kutengeneza wenyewe basi tuhamie korea kaskazini,Urusi na Iran.
Ulivyo FALA WA KUPINDUKIA unadhani watu wanashabikia dini hapa!?nayaona maisilamic na makristo yanavoshadadia pande zao .za hezbolah na israel ................ama kwel yote n mipumbavu by mm atheist.......ni upumbavu mtupu.......vichwa maji nyie vita sio ya kushabikia.
Wamecheza vizuri bila kutumia makombora .Wazee wa kujikuza
Hatari sana hawa jamaa.Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.
Israel pia ilimuua Wadie Haddad kwa sumu ya dawa ya mswaki, maana waliona wakimuua kawaida magaidi wa kundi lake la PFLP aliloongoza lililokuwa maarufu kwa kuteka ndege na kufanya mashambulizi wangelipa kisasi kwa mauaji. PFLP ndio waliteka ndege wakaileta Uganda kwa Iddi Amin.
Huyo walimpa dawa iliyotengenezwa na Taasisi ya Kibaiolojia ya Israeli, dawa ikamuua taratibu baada miezi miwili. Kwa maumivu makubwa, amekonda, amenyonyoka nywele.
Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.
Israel iliondoka Lebanon kwa maamuzi ya Waziri Mkuu wao aliyoyatoa kwenye ahadi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 1999 kama sikosei au mwaka karibu na huo. Pia UN Security Council Resolution 425 iliitaka Israel kuondoka Lebanon.MKuu usidanganye hufai kudanganya.
Lengo la kuifuta Israel itoke kuwa ya Iran ihame kuwa ya Hizbollah!?
Kuwa na aibu kaka.
2006 Hizbollah lengo lao ilikua kuikomboa Bint jubeir na kuwaokoa members wao wa Hizbollah waliokamatwa na Israel.
Israel iliondoka Bint juberi kwa KUPIGWA sio kwa kutaka.
Na wali pull back mbaka shebah farms.
Mwishowe ardhi Hizbollah waliikomboa na kipindi cha negotiation wakapewa members wao wakiwa wote wazima ilhali askari wao IDF wawili walikufa wakapewa wawili.
Hapo nani kashinda??
Usichanganye madesa mkuu.Israel iliondoka Lebanon kwa maamuzi ya Waziri Mkuu wao aliyoyatoa kwenye ahadi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 1999 kama sikosei au mwaka karibu na huo. Pia UN Security Council Resolution 425 iliitaka Israel kuondoka Lebanon.
Israel iliingia Lebanon baada ya wendawazimu kuwa wanaishambulia kutoka kule. Haikufanya occupation kama Gollan heights za Syria. Na hata sasa, Israel inaweza weka majeshi yake hapo Lebanon baada ya hawa washamba wavaa beepers wakiendeleza mashambulizi.
Ndiyo hiyo sasa imefanya yakemotorola nayo ni kampuni?
Sasa wewe umefuata nini kwenye uzi usiokuhusu? Umeitwa au ni kimbelembele chako tu? Au umeona raha tu kujipitisha mbele ya Wanaume?nayaona maisilamic na makristo yanavoshadadia pande zao .za hezbolah na israel ................ama kwel yote n mipumbavu by mm atheist.......ni upumbavu mtupu.......vichwa maji nyie vita sio ya kushabikia.
Tuseme waandishi wa habari wamefukuzwa, je na raia wakafukuzwa?Wewe Pimbi,hao wayahudi wamewafukuza waandishi wa habari wote ili kuficha aibu ya vichapo wanavyopokea,
Unawasifu Wayahudi waliomsulubu Mungu wako?
Askari wa kuwapeleka huko anawapata wapi.Mshike mshike ya kupata kuruta itachochea tatizo jengine la ndani.Israel iliondoka Lebanon kwa maamuzi ya Waziri Mkuu wao aliyoyatoa kwenye ahadi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 1999 kama sikosei au mwaka karibu na huo. Pia UN Security Council Resolution 425 iliitaka Israel kuondoka Lebanon.
Israel iliingia Lebanon baada ya wendawazimu kuwa wanaishambulia kutoka kule. Haikufanya occupation kama Gollan heights za Syria. Na hata sasa, Israel inaweza weka majeshi yake hapo Lebanon baada ya hawa washamba wavaa beepers wakiendeleza mashambulizi.
Wewe Mjane hivi unaelewa hata unachokiandika lakini? Unaishi shimoni? Hoa mabwana zako wamefukuza waandishi wa habari kuficha aibu,Missile ikitumwa,kinapiga king'ora wanakimbilia kwenye mashimo,sasa hizo Smartphone wapige picha humo kwenye mashimo?Tuseme waandishi wa habari wamefukuzwa, je na raia wakafukuzwa?
Hujui Israel kuna Waislamu zaidi ya 1,000,000 na zaidi ya 17% ya raia ni Waarabu?
Hao wote hawana simu, ni maskini kama panya wa kanisani kwamba hawana CCTV cameras na smartphones?
Kipigo kinauma mnaanza kufokafoka
Sawa Israel hana askari, ishambulie basi.Askari wa kuwapeleka huko anawapata wapi.Mshike mshike ya kupata kuruta itachochea tatizo jengine la ndani.
Ilikuwa 1980 na walitumia drone?Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.
Israel pia ilimuua Wadie Haddad kwa sumu ya dawa ya mswaki, maana waliona wakimuua kawaida magaidi wa kundi lake la PFLP aliloongoza lililokuwa maarufu kwa kuteka ndege na kufanya mashambulizi wangelipa kisasi kwa mauaji. PFLP ndio waliteka ndege wakaileta Uganda kwa Iddi Amin.
Huyo walimpa dawa iliyotengenezwa na Taasisi ya Kibaiolojia ya Israeli, dawa ikamuua taratibu baada miezi miwili. Kwa maumivu makubwa, amekonda, amenyonyoka nywele.
Kwahiyo Israel inashiriki kuwa supplier wa bidhaa za adui, humo inaweka vitu fulani. Muda wowote ikihitajika inajua namna ya kuzitumia kwa maslahi yake.
Waliokuwa wanapigana wakati huo walikuwa ni UK, USA, France na mataifa rafiki na sio wayahudiSawa Israel hana askari, ishambulie basi.
Mwaka 1973 wakati Israel ilikuwa na raia milioni tatu pekee ilishambuliwa na Egypt, Syria na wengine. Ilikuwa outnumbered 10 to 1, sembuse leo Israel ina raia almost milioni 10 ishindwe na wanamgambo wa Hezbollah + Hamas + Yemen?
Anayeweza aivamie Israel waende full scale war si mnasema ni wanyonge.
Umejuaje missiles zimepiga kama wanaotakiwa kuwa na taarifa walijificha?Wewe Mjane hivi unaelewa hata unachokiandika lakini? Unaishi shimoni? Hoa mabwana zako wamefukuza waandishi wa habari kuficha aibu,Missile ikitumwa,kinapiga king'ora wanakimbilia kwenye mashimo,sasa hizo Smartphone wapige picha humo kwenye mashimo?
Hivi hua una akili timamu kweli wewe?
Hezbollah wanatumia pager kwa sababu simu ni rahisi kunasa mawasiliano,Mie katika video nimeona raia madukani ndio wamelipukiwa na hivyo vifaa.
Ila wao watakwambia ni Hizbollah,sasa wamejuaje kama Hizbollah??
Maana video zinaonesha watu super market ndio wanalipukiwa.
Israel banaπππππππππ halafu mlipuko wenyewe kama wa gesi ikifurumia kwenye soda.