Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Ni lini umewahi ona Israel inaanzisha vita.

Israel huwa inajibu mashambulizi wala haianzi. Ukiona imeanza hiyo ni preemptive na kila mtu anajua adui atashambulia. Kwahiyo kudhani Netanyahu atashambulia bila taarifa za kiintelijensia sahau.
 
Programming, au hizi device, aliweza kuzifikia zikiwa kiwandani, akazi compromise, na kuzifanya bomu, au AME hack microprocessor za simu, ni, Kuz I program upya,Zika I overwork bettry na kuipasua,
 
watumie majini labda kuwasiliana...naangalia aljazeera naona wanaonyesha mabaki ya vipager vina maandishi ya infinix ultra zero πŸ˜πŸ˜ƒπŸ€£πŸ˜† kama ni kweli basi dah mchina naye kaingiliwa na myahudi
Software za aina ya Android ni Google made na Google Software Lab kubwa ipo Israel- so hardware & Software Is Israel Properties.! No where to Hide
 
Lengo la Hezbollah kuifuta Israel. 2006 Israel ilifutwa? Kigezo gani cha kusema Israel ilishindwa?
Hapo ndipo huwa wananishangaza kwa sababu huwezi kusema.alishidwa wakati mpaka leo hii Israel anakalia milima ya Golan. Labda dunia ya propaganda ndo ilivyo maanake kwa kile kinachoitwa ushindi wa Hezbollah basi kinachotokea kati ya Russia na Ukraine itakuwa Ukraine ni mshindi tena ushindi wake ni mkubwa sana
 
Hyo uliyoiandika habari zake zipo ktk movie moja inaitwa "the engineer" hyo mbinu
 
Myahudi alimpiga nani wewe?
Kule Sinai peninsula si alikimbia na kuacha idadi kubwa ya mateka wa Israel?
Egyptian 3rd Army yote ilizingirwa na majeshi ya Israel. Na hapo Israel imevuka bahari. Kwahiyo wasingetaka mazungumzo wangepoteza vilevile
Na hiyo vita ilipiganwa kati ya Syria, Egypt na Israel.
Egypt mpango wake ulifanikiwa ila Syria ulifeli.
Sasa Waarabu wanaogeukana ndio uwaamini wataiangusha Israel hata wakija kwa mafungu.
 
Tangazo la Israel liko wapi mkuu?
 
Egyptian 3rd Army yote ilizingirwa na majeshi ya Israel. Na hapo Israel imevuka bahari. Kwahiyo wasingetaka mazungumzo wangepoteza vilevile

Sasa Waarabu wanaogeukana ndio uwaamini wataiangusha Israel hata wakija kwa mafungu.
Vita ipi unayozungumza wewe 3rd army walizungukwa??
Lete article hapa tuisome.

Hao waarabu unaowaita wanaogeukana safari hii wameungana ndio maana unaona Israel imepoteza global influence na Israel inachapika sasa hivi.
 
Ndio ulivuodanganywa kanisani kwenu j2 hii?
 
Mchina na mrusi wanasema what you can do we can do it better,,,,,hivyo vifaa si vya mmarekani hata yale ma helicopter yaliyodondoka iran na kenya ni bell za mmarekani,,,,shida kwa huku afrika mambo yatakua machungu maana hata maminara ya simu ni ya mchina,,,,,ndo maana ulaya na marekani walikimbilia kuzuia minara na mavifaa ya mawasiliano ya kampuni za kichina maana hii michezo wote wanaiweza...
...mtu anakulia timing hata hilo samsung lako linakua bomu na uzuri kwa sasa hata betri huwezi kuchomoa.....ni kasheshee sheeeehee,....tena kuna wale wafuasi wa aifoni hiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…