Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Hizo pager hata zikiripuka hazina impact kubwa Israel kaishiwa [emoji1]
Kaishiwa vipi ndugu mbona kobazi kwa ubishi mpo vizuri yaani ndugu zako katika imani hezbollah wamekula shambulizi la kiteknolojia majeruhi ni wengi watu wamefurika hospitali hawana makagari, hawana macho, wengine hawana tako, wengine utumbo umevunjika wewe unasema israel haina kitu
 
Pager inawekwa jichoni 😄 kweli wakristo jifurahisheni tu tulieni moto unakuja hata US na yeye atapokea kichapo hapo karibuni.
 
Unabisha hawakufa au unakubali walikufa?
Ila mwamba hongera sana,wewe ni zaidi ya kikosikazi.

Hii inaitwa "the strongest man is the one who stands alone, always majority are liars".
Umepambana na vikosi kibao ila vimekushindwa kwenye huu uzi.

Watu wanajigongagonga na ngonjera za abunuasi ila wewe unawalipua bila huruma.
 
Labda ndo wenye nguvu wanavyotaka iwe, vita isifike mwisho, unlimited demand of weapon. Hii dunia ukitaka amani dhibiti biashara ya silaha.
 
Motorola ni kampuni ambayo kwa sasa wamiliki ni Wachina, Lenovo

Isingekuwa rahisi Mchina kukubali pagers zilizotengenezwa na Motorola zitumike kwenye shambulio hilo
 
Hizo pagers zilizolipuka zilitengenezwa Taiwan.

Na ukweli ni kwamba utengenezaji wa semiconductors nchini Taiwan uko chini ya Marekani

Supplier wa chips zilizotumika kwenye hivyo vifaa sio Israel
Ni US anafanya afu Israel anajisifia ni yeye kafanya, kama ile yakupiga Yemen 😄 Any way ni vijana wawili wa Hezbullah ndio walio kufa wengine walizitupa hizo pager walipo ona zimechemka.
 
Israel kashindwa vita ila maeneo yote ya west bank mpaka sahivi anayakalia kimabavu na anazidi kujenga nyumba za walowezi

Israel kashindwa vita ila huwezi ingia msikiti wa al aqsa bila ruhusa yake
 
Hizo pagers zilizolipuka zilitengenezwa Taiwan.

Na ukweli ni kwamba utengenezaji wa semiconductors nchini Taiwan uko chini ya Marekani

Supplier wa chips zilizotumika kwenye hivyo vifaa sio Israel
Kwanza ni Taiwan halafu Marekani.Unadhani kuna nini hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…