Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Si ndio unasema ajitokeze na kujitetea mwenyewe hutaki watu wamtetee na kumuelezea badala yake.Mimi sitaki watu wasijadili kuhusu Mungu.
Kujadili ni uhuru wako wa kikatiba.
Mimi napingana na hizo imani kumhusu huyo Mungu anayejadiliwa.