Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
If God is good all the time, Where was he during slavery and colonialism in Africa?Pumzi tunayovuta kila siku iitwapo leo ni baraka na utajiri wa Afya kwenye maisha yetu.
Somanvzuri kitabu cha Ayubu mtumishi wa kweli wa Mungu aliyevutiwa naye hapa Duniani. Usipokielewa, rudi tena. Utaona wazi wazi uwepo wa Mungu ktk maisha yetu.
God is Good all the Time.
Sun is Sun Pitia na hapaHabari za siku ya leo WanaJamiiForums?
Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.
Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.
Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).
Ni hayo tu
Wacha weee, anayea na kubaka kumbe wapo sawa na anayesaidia yatima na wasiojiweza?Sin is an imaginary disease invented by religion to sell you an imaginary cure.
It's like creating virus to sell Anti-Virus.
Dhambi ni dhana uchwara iliyotungwa na dini kukupa wewe hofu na kukuuzia baraka za kufikirika tu.
Hakuna dhambi.
Dhambi haipo.
mshana kama mshanaKasome kitabu cha Ayubu kina unabii mkubwa sana pale..lakini pia wakati una nafasi ya kuandika haya ukiwa na simu janja yenye network, bundle na chaji wakumbuke pia
Waliojibanza vibarazani wasio na makazi
Wagonjwa mahospitalini
Wafungwa magerezani
Nknk
Yuko wapi!?🤣🤣 problem of Evil..
Mungu Yupo Sema Tunatakiwa Kuchunguza zaidi Kumjua
Kuna makosa na sio dhambi.Wacha weee, anayea na kubaka kumbe wapo sawa na anayesaidia yatima na wasiojiweza?
Ndani yetuYuko wapi!?
Mungu yupo na anaishi mkuu niaminiHabari za siku ya leo WanaJamiiForums?
Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.
Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.
Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).
Ni hayo tu
Mungu hujidhihirisha na kuwasaidia wasio amini ili waamini (wapate kuijua KWELI). Wewe kama umeishamini endelea tu kuamini. Ukiacha kuamini utastahili adhabu kwa vile KWELI umeishaijua.Habari za siku ya leo WanaJamiiForums?
Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.
Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.
Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).
Ni hayo tu
Wewe ndio umesema haelewi hayo ambayo anaita uchawi ndio maana nikakuuliza wewe ni kama yapi hayo ambayo hayaelewi tu ila sio uchawi?toa mfano.Muulize yeye.
Sasa mimi nitajuaje ambacho mtu haelewi bila kusema yeye mwenyewe?
Haya uliyosema wewe pia yana uthibitisho au pia tuyaamini tu?Mungu/miungu haijawahi kuzungumza na binadamu yoyote, kwa kuwa ni dhana tu.
Binadamu kadhaa wakaja kuwaambia wenzao kwamba mungu kaongea nao.
Wakatunga sifa, masharti na ahadi hewa toka kwa Mungu na wakasambaza uzushi wao.
Wakiulizwa wanathibitishaje kuwa na mawasiliano na Mungu, hawana majibu. Wanadai nyie aminini tu. Imani haihitaji uthibitisho. Leo hii watu wanaamini tu. Je, huu si ukichaa?
Haya yana uthibitisho. Vitabu kama biblia na kurani ni uthibitisho wa watu waliojifanya mungu kaongea nao.Haya uliyosema wewe pia yana uthibitisho au pia tuyaamini tu?
Sasa ndio huwa unajiingiza kwenye hizi blah blah ili iweje ikiwa hutaki blah blah? Unataka Mungu mwenyewe ajitokeze kama yupo hautaki blah blah sasa unajiingiza kwenye blah blah za nini?Ndio aje yeye mwenyewe kama ana huo uwezo.
Hizi mnazopiga hapa ni blah blah tu. Kujitahidi kumuelezea.
Sasa unavyokuja hapa kwenye majadiliano na kusema Mungu mwenyewe ajitojeze na sio sisi kupiga blah blah unataka sie tufanyaje tuache kujadili maana ni blah blah na tukakuitie Mungu? Au unaongea tu bila kufikiri?Huwezi kunipangia namna ya kujadili.
Wewe unataka mimi nijadili jinsi wewe unavyo fikiri, Badala ya jinsi mimi mwenyewe ninavyo fikiri.
Na hii ni akili ya wapi?