Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Tatizo la Waislam wengi hawana uelewa wa dini yao, wao ni watu wa kukariri tu vitu. Hapa Bongo tuna msanii mmoja mjinga aitwae Ali Kibamia, kuna siku aliwahi kuropoka kuwa binadamu wote wamezaliwa kuwa Waislam, nilimshangaa sana na kuhoji alisomea wapi. Uislam ni dini ya kimkakati iliyoletwa na shetani / majini, Mohammed mwenyewe hakuwa Muislam, alikuja kuwa Muislam baadaye sana.
 
Reactions: 511
Kuna jambo moja la msingi sana.
Lugha ya msingi wa Uislamu ni kiarabu tu.
Ili uikariri qurani ni lazima uijue lugha ya Kiarabu tu.
Sasa makabila kama ya Wamakonde na Wa hedzabe wanasikia tu kiarabu kinazungumzwa na Mashehe wao, lakini hawajui huyo Shehe kasema nini.
Wanakaririshwa kusoma Qurani kwa Kiarabu na wanaweza kutamka lakini hawajui kabisa kinachozungumzwa.
Kwahiyo ni kwamba hadi hii leo Waislamu wengi wasio Waarabu hawajui hata sentensi moja ya Qurani.
Wala kuyajua mafundisho yake yote.
Hata hiyo, "Allah akbar" hawajui maana yake.
Na wameshinikizwa wawe Waislamu tu, bila kujua Uislamu unasemaje.
Biblia imefasiliwa kwa lugha zote hadi Kinyakyusa, ili watu waielewe.
Kuna watu wanenda misikitini kuswali miaka na miaka na hawajui kinachosemwa huko misikitini.
Wachache wanajua neno moja tu la kuitikia "Amin, Amen, lenye maana ya "Ndio"
Hili jambo limefanywa kimkakati sana, ili kuwapata maadui wa Mungu.
Yesu alikuja duniani na akawaambia kweli ya Mungu kuwa yeye ndio njia, kweli na uzima. Bila yeye hakuna kiumbe kitafika kwa Mungu Mwenyezi.

Na akawaonesha kwa matendo kwa kupaa mbinguni kwenda kuwaandalia makao waliomsikiliza na kuyafuata maneno yake.
Na hakuna mtume yeyote aliye thubutu kusimama hadharani na kusema " mimi sina dhambi" na watu wakabaki kimya.

Sasa mimi nikiwa na akili timamu, nitamwaminije mtu mwenye dhambi nyingi tu na yaani Muhammadi, aliye tenda maovu ya kutenda kinyume na amri kumi za Mungu alizompatia musa?

Muhamadi kavunja amri zote kumi za Mungu wa Ibrahimu alizompa nabii wake Musa.

Kama naongopa hao wanao mwamini waniambiale, ni amri gani ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambayo Muhammadi hakuivunja.
Nitawathibitshia kwa maandoko yao, ya Qurani na Hadithi zao za kuwazuga watu wa Mungu.
Nasubiri majibu.
 
Muelimishe kuhusu dini, pengine akawa muumini mzuri!
 
wewe kafiri unaelewa nn? kujisafisha tu baada ya kutoka haja kubwa hujui
 
Kwani wakisema hivo inaharibu kitu gani katika safari yetu kwenda Mbingu yetu.Hujui kwamba kila dini ina mbingu yao.Acha uchokozi.Ipambe Mbingu yako.....Yohana 10:10
 
Well said, the fact is uislamu umetengenezwa na Roman catholic kwa madhumuni ya kujenga jeshi kubwa ili kuivamia na kuiteka yerusalemu iwe under their control, walitaka yerusalemu iwe makao makuu ya Catholicism.

RC walifeli pakubwa baada ya waarabu kuwakatalia kuisalimisha Yerusalemu mikononi mwao baada ya kuiteka, waarabu walikuwa na military capabilities kubwa sana wakiongozwa na ideology moja i.e Uislamu (chuki dhidi ya wayahudi na wakristo) hawakuogopeshwa na Vatican.
 
Uislamu umetengenezwa kwa lengo moja tuu, kuwa against Ukristo(Christianity) na Uyahudi(Judaism) ndo maana wamechukua characters from the bible na kupika story tofauti na zilizoandikwa kweny biblia.

Wahindi wana dini yao (hinduism) tena ya zamani sana before even Christianity ambayo imesheheni characters, events na story nyingi sana ambazo hazina uhusiano wowote na ukristo, wajapan wana dini yao (Shintoism) ambayo nayo imejaa characters, events an story ambazo hazina uhusiano ukristo.
Sasa tukija kweny uislamu utacheka, ni kama copy and paste from the bible, quran imejaa characters from the bible, imejaa na events from the bible wamebadili kidogo ili ziendane na madhumuni yao, huhitaji kuwa great thinker kugundua kwamba hii sio dini bali ni "movement" yenye malengo flani.

Wangekuwa na akili wangetengeneza dini yao kama wahindi/wajapan/wachina walivofanya, dini iliyojaa characters, events na story tofauti kabisa na ukristo sema hio copy and paste aisee walichemsha.
 
Njia ni nini?
Njia ya Yesu ni ipi?
 
Wakiwa na dini yao itakua ni kosa, uislamu ni dini ya Mungu.
 
Muhammad alikua nani kabla ya kua Muislamu?
 
Lete tofauti ya UARABU na UYAHUDI.
 
Wewe uliza swali lako la msingi upatiwe majibu sio kulalamika, ukilalamika hutapata jibu, uliza swali linalo kutatiza kisha anayejua jawabu atakupatia. KARIBU MKUU.
 
Wakiwa na dini yao itakua ni kosa, uislamu ni dini ya Mungu.
Huyo mungu alikaa kimya hadi Muhammad azaliwe sio??

Maana hamna historic record yoyote ya Uislamu before Muhammad, Islam started with Muhammad, and that is a fact.
 
Reactions: 511
wewe kafiri unaelewa nn? kujisafisha tu baada ya kutoka haja kubwa hujui
Na hiki ndicho kitu muislam anaweza simama akajigamba nacho mbele za watu,kwamba amefundishwa namna bora ya kuosha mcundu😁😁😁.
 
Reactions: 511
Wewe uliza swali lako la msingi upatiwe majibu sio kulalamika, ukilalamika hutapata jibu, uliza swali linalo kutatiza kisha anayejua jawabu atakupatia. KARIBU MKUU.
Ibrahimu aliibusu kaaba na kuizunguka mara 7???kama sivyo Muhammad alitoa huu utaratibu wapi??
 
Reactions: 511

Kuhusu ubatizo kwa wa islamu, HAWABATIZI kwa 7bu, Yesu alisema "Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu kwa kuwa mimi ni mpole na ......."
Ukijifunza kwa yesu maana yake huwezi kubatiza maana YESU mwenyewe HAJABATIZA. (Yohana 4:2)
Yesu alisema tujifunze kwake na sio kwa Yohana, hivyo yeyote anaye batiza wenzake maana yake hajifunzi kwa Yesu.
Ndio maana hakuna Sheikh anaeweza kumbatiza mtu maana ubatizo sio mafundisho ya Yesu wala sio amri ya Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…