Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

Hapo sasa mnatakiwa kusema Uislamu unafanana na imani ya Ibrahim... Na si kusema Ibrahim ni muislamu, kwa sababu hata hivi leo Ibrahim akifufuka nadhani hawezi kujua maana ya uislamu kwa sababu hakuacha Dini kipindi chake, yeye aliabudu MUNGU tu, inakuwaje nyie mnambatiza dini ambayo haikuwepo nyakati hizo...

Na pili ukisema kwa sababu wanaabudu MUNGU mmoja, hata wayahudi wanaamini katika MUNGU mmoja, mbona hamsemi uyahudi ni uislam? Nyie mnataka manabii tu
 
Utaabudu Mungu bila ya kuwa na dini(utaratibu)!?..utaabudu vipi!?.. QUR'AN Inasema toka nabii Adam ujumbe ni ule ule na wote ni waislam, uislam maana yake ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu pekee
 
Hata Yesu ambae kwao ni ISSA wanasema ni muislamu
 
Utaabudu Mungu bila ya kuwa na dini(utaratibu)!?..utaabudu vipi!?.. QUR'AN Inasema toka nabii Adam ujumbe ni ule ule na wote ni waislam, uislam maana yake ni kujisalimisha kwa mwenyezi Mungu pekee
MUNGU hakuleta DINI, hata ADAM, na manabii wengine wa kale katika historia hawakua na DINI, bali walikuwa na MUNGU MKUU ambaye walimtumikia na kumuabudu.

Uislamu umekuja karne ya 7 baada ya Yesu, kisayansi na kimaandiko hiyo inamaana kabla karne hiyo hakukuwa na Dini ya uislamu.

Unasema Uislamu ni kujisalimisha kwa MUNGU (Submissive to GOD), Hiyo ni tafsiri tu, hata wayahudi na wakristo nao wako Submissive to GOD, kwa hiyo nao ni waislamu. Uislamu ni Utamaduni wa kiimani na si tu kujisalimisha, maana neno kujisalimisha kwa MUNGU ni neno pana.
 
Hata Yesu ambae kwao ni ISSA wanasema ni muislamu
wana asili ya kupora pora kuingilia ingilia ya watu ndo maana wameingila ardhi ya wayahud wanadai yao, palipokuwa hekalu la suleiman wanadai ni pao, yaan hao ni shida tupu ndo maana Mungu alikataa mwanzilisho wa hiyo familia yaan ishmael kukaa na Isaka mtoto wa ahadi maan alijua kabeba mbegu gani na angalia quran kuna vitu vimekopiwa toka bible yale yale ya kuingilia ingilia ya vitu vya Mungu.
 
Ww kwa mdomo wako ulisha sema ya kuwa nyinyi huwa hamna muda wa kuujadili uislam bali mko bize kuujadili mafundisho ya dini yenu sasa nashangaa leo unakana maneno yako mwenyewe.
Kama ungekuwa na nia ya kujifunza ungeenda kuwauliza mashekhe wamejaa mitaa kwako unapo ishi.

Waisilam hawana muda wakuwauliza maswali kuhusu dini yenu kwa sababu haiwahusu kwa chochote , nyinyi ndo huwa mnapenda kuujadili uislam kwa ajili ya kuleta chokochoko zisizo na msingi.
 
Hata freemason Nao wanaamini Kwa mungu mmoja great architect (G) Je Nao ni wavaa kobasi
 
Sio wahuni kuliko baba yako maana kuku wa watu hapo mtaani kwako wameshapata shida sana.

Sema muislam wa kwanza alikuwa nani na ubishe hoja hii

Muhammad aliambiwa na Allah asema: -
Quran 39: 12 Suratul Zumar (Makundi / Vikosi)
"Na pia nimeamrishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha (kwa mwenyezi Mungu)"

Quran 6: 14 Suratul Al- An'am (Wanyama)
Sema "je nifanye mola (wangu) asiyekuwa Mwenyezi Mungu, (Ambaye ndiye) muumba wa mbingu na ardhi" naye hulisha wala halishwi" sema hakika mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu na (nikaambiwa). usiwe miongoni mwa wanaomshirikisha (Mwenyezi Mungu).
 
Ndio hapo hata mimi wananiacha njia panda... Kusema Ibrahim ni muislamu wakati Mudi kaja na Uislamu baaaaadaee sanaaaa.... Lakini shehe anasema Quran imeandika Ibrahim ni muislamu πŸ˜‚
Uislamu imeanzishwa kiujanjaujanja na una mapungufu mengi na umejichanganya sana.
Huwa wanasema Yesu kristo ni Issa ila sasa msome Yesu kwenye Biblia na Quran utajua hapa waislamu walijichanganya

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

Hawa ndiyo wafuasi wa Jibril (majini)
Al Jinn
72:8 Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo

72:9 Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!

Wamehaidiwa wanawake 72 Akhera ni kufanya ngono muda wote
Al Jinn
72:8 Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo

72:9 Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!

Ona hapa uongo
Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

β€œ83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”
Wanasema Allah ni mmoja tu. Hapa Allah alikuwa na nani?
Kuran 15 : 26
" Na tulimuumba mtu kwa udongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyo tiwa sura. "
Quran 15 : 26 " We brought man into being out of dry ringing clay which was wrought from black mud "
Waislamu huwa wanapinga Utatu(Trinity), lakini trinity ipo kwenye Kuran.
 
Inaelekea kichwa chako ni kigumu kupokea na kuchakata kitu kipya,nimekuuliza unasema Mungu hakuleta dini Bali manabii wa mwanzo walimuabudu Mungu tu bila dini,kwako dini ni nini!?..utafanyaje Ibada bila huyo Mungu kukupa utaratibu wa kufanya hiyo Ibada!?..hapakua na makatazo na maelekezo!?..Kama yalikuwepo hiyo siyo dini!?..nimekwambia Quran inasema ujumbe kwa manbii wote ulikua ule ule,Mungu mmoja,usiabudu mwingine Bali yeye Kama ilivyo kwenye QUR'AN,we umeng'ang'ana Karne ya Saba, waislam/uislam unahesabu yesu,Musa,Ibrahim nk walikua waislam,hawakuwa wayahudi Wala wakiristo
 
Sasa kama huufaham uislam kwann unapoambiwa unaleta ukaid na ujeuri wako wa kijahili,
Nyie wakristo hamna chochote mkipatacho kwa kuwa nyie mmepotea mazimaaaaaaaa na hata muambiwe nini hamuelew wala hamsikii ndio maana mkaitwa kwenye quran "waliopotea"
 
Nini nabii Ibrahimu, hata binadamu wa kwanza Nabii Adamu pia alikuwa ni muislamu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mm maswala ya dini siyafuatilii kabisa sahivi maana kila nikidigest huwa naona nyotanyota tu mi naona hizi dini zilikuwa janja za watu walitaka kutoboa wakapia humo kwenye dini.

Ndio maan zinacontradition nyingi sana ajabu kuna hawa watoto wa bi mdogo atakwambia dini yetu imekamilika asilimia 100 lkn kila ukisoma sasa vitabu vyao maswali yanakuwa mengi kuliko majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…