KUtoka vyanzo ndani ya ubaloz wa vatican tanzania
1.waarabu wakipewa bandari,agenda kubwa sio kuendeleza bandari bali kueneza uislam na waislam ndio watawale tanzania kwa miongo kadhaa
2.waarabu wakipewa bandari zote za majini na nchi kavu, basi wataingiza silaha kiholela na kuunda vikundi vya uasi na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe (watanzania )
3.waarabu wakipewa bandari,kuna mgogoro wa kimkakati utatokea bainabya visiwan na bara na hivyo visiwani wataamua kujitenga hasa ikizingatiwa upande wao hakuna bandari amepewa mwarabu.
4.mwarabu akipewa babandari si atafanya kaz zihusuzo bandari bali wataingilia mifumo mingine ya kitaasisi na kujinufaisha wao na mabwana zao waliowapa bandari....
5.mwarabu akipewa bandari kundi kubwa la vijana wa kitanzania watakosa ajira.
6.kwa kutukia mfano wa loliondo eneo analomiki mwarabu tangu miaka ya 90 na kupelekea vifo vya watu waliojaribu kupaza sauti kama hayati stan katabalo..vivyo hivyo wakipewa badari maisha ya watanzania yatakuwa duni mara mbili ya ilivyo sasa..
7.mwarabua akipewa bandari..mamlaka nyingi za ndan ya nchi zitapigwa marufuku kutekelez majukuku yao ndan ya maeneo aliyokabidhiwa mwarabu.
8.mwarabu akipewa bandari ,utamaduni wa kitanzania utaathirika na kufutika ndani ya miaka 30 ijayo..
9.watawala waliopo kwa sasa tanzania wamejikita katika kujenga "nchi" badala ya kujenga "taifa"
10. Mtanzanja ajengewe uwezo wa kuendesha mambo yake na sio kuendeshwa...
Maaskofu wakatoliki hawajakurupuka kwa wanachokifanya sasa..wanajua huko mbele nini kitatokea iwapo mwarabu atapewa bandari...
NB: The vatican intelligence and its fields of resources are second to none!!
From room NO.26 Gaborone..
Pascal Mayalla