OnTheEarth
Member
- Jan 1, 2023
- 75
- 67
Hiyo unasema Katoliki ya mashariki, ndio orthodox. Unajua kwa nini kuna Orthodox na Catholic, Roma?Jua pia kuna katoliki ya mashariki,,,, shida waafrika wengi wamekalilishwa mambo ya magharibi..... Kuna maeneo kanisa katoliki la roma halina nguvu kabisa na ni kama ka dhehebu fulani tu
Kama unadhani ilitokea tuu by coincidence Julius Nyerere Mkatoliki akawa rais, ikatokea coincidence nyingine Benjamin William Mkapa, Mkatoliki akawa rais, na ikatokea tena coincidence John Pombe Joseph Magufuli Mkatoliki akawa rais, then this is amazing coincidence!, huwezi amini coincidence ina coidensishwa!, take it from me, EL angekuwa Mkatoliki, angekuwa, tatizo ni kanisa Katoliki haliwezi kuwapitisha Wakatoliki wawili wapingane!, kilichomfanya EL asiwe ni hizi sababu humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe MagufuliSio lazima imetokea Tu . EL angeweza au Sumuyawe Ila mapungufu Yao binafsi ndio yalisababisha. Mfano Marehemu Mzee Sozigwa angekuwa MTU WA Mikakati ya cheo angeweza, na kuna wengine wengi Tu .
Huenda iyo point iliwazamisha kwenye kina kirefuSio lazima imetokea Tu . EL angeweza au Sumuyawe Ila mapungufu Yao binafsi ndio yalisababisha. Mfano Marehemu Mzee Sozigwa angekuwa MTU WA Mikakati ya cheo angeweza, na kuna wengine wengi Tu .
Kuna city ulivyo andika vipo kama ulivyo sema.KUtoka vyanzo ndani ya ubaloz wa vatican tanzania
1.waarabu wakipewa bandari,agenda kubwa sio kuendeleza bandari bali kueneza uislam na waislam ndio watawale tanzania kwa miongo kadhaa
2.waarabu wakipewa bandari zote za majini na nchi kavu, basi wataingiza silaha kiholela na kuunda vikundi vya uasi na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe (watanzania )
3.waarabu wakipewa bandari,kuna mgogoro wa kimkakati utatokea bainabya visiwan na bara na hivyo visiwani wataamua kujitenga hasa ikizingatiwa upande wao hakuna bandari amepewa mwarabu.
4.mwarabu akipewa babandari si atafanya kaz zihusuzo bandari bali wataingilia mifumo mingine ya kitaasisi na kujinufaisha wao na mabwana zao waliowapa bandari....
5.mwarabu akipewa bandari kundi kubwa la vijana wa kitanzania watakosa ajira.
6.kwa kutukia mfano wa loliondo eneo analomiki mwarabu tangu miaka ya 90 na kupelekea vifo vya watu waliojaribu kupaza sauti kama hayati stan katabalo..vivyo hivyo wakipewa badari maisha ya watanzania yatakuwa duni mara mbili ya ilivyo sasa..
7.mwarabua akipewa bandari..mamlaka nyingi za ndan ya nchi zitapigwa marufuku kutekelez majukuku yao ndan ya maeneo aliyokabidhiwa mwarabu.
8.mwarabu akipewa bandari ,utamaduni wa kitanzania utaathirika na kufutika ndani ya miaka 30 ijayo..
9.watawala waliopo kwa sasa tanzania wamejikita katika kujenga "nchi" badala ya kujenga "taifa"
10. Mtanzanja ajengewe uwezo wa kuendesha mambo yake na sio kuendeshwa...
Maaskofu wakatoliki hawajakurupuka kwa wanachokifanya sasa..wanajua huko mbele nini kitatokea iwapo mwarabu atapewa bandari...
NB: The vatican intelligence and its fields of resources are second to none!!
From room NO.26 Gaborone..
Pascal Mayalla
Mkuu hiyo ni Sheria au ni historia ? Ni lazima awe Mkatolikiπ Chai iliyoungwa hisia.Kanisa Katoliki ndilo dhehebu tajiri kuliko madhehebu yote duniani!.
Utajiri mkubwa wa kwanza ni Warumi walivamia hekalu la Constantinople kule Uturuki waka loot kila kitu, wakaliteketeza, hizo loot wakaenda kujengea St. Peter's Basilica, Vatican!. Hiyo meza hapo ukutani ni pure gold!.
Ile fimbo ya Papa ni the oldest pure gold!.
Na kwa Tanzania ndilo dhehebu kubwa lenye waumini wengi kuliko dini zote, ni kanisa tajiri, na rais wa Tanzania anapokuwa ni Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki!.
P
Hawa watu ni wajinga tu. Amini nakwambia. Na kwa kuwa sasa tumeshajua kuwa ni wajinga sidhani kama atatokea tena Rais mkatoliki nchi hii.Mkuu hiyo ni Sheria au ni historia ? Ni lazima awe Mkatolikiπ Chai iliyoungwa hisia.
Ikitokea kitu kikatokea kwa namna fulan kwa kujirudiarudia haimaanishi kuna Fomular au Principle au Sheria inayopelekea hilo.
Tukiondoa kinga ya raisi kutoshitakiwa huu ujinga utaisha wenyewe. Wanafanya hivyo kwakuwa wanajua hawawezi kushitakiwaTusikae kimya sasa kusubiri miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari, tumkosoe mapema ili akija kuandika kitabu hicho aseme nilishauriwa ila nilikataa Ushauri"-Baba Paroko wetu leo 27/08/2023
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga?We unasema hao walioshauriwa na Pengo. JK alipata elimu kupitia shule za Kikatoliki na kati ya washauri wake ni Papa Benedict.View attachment 2730509
Bado Rais Mwinyi alikuwa anapata madini ya ukweli kutoka kwa Papa John Paul II
View attachment 2730512
Kwa hiyo mama mkimuona anaenda Vatican kufuata ushauri msione kwamba ni jambo geni.
Kumbe wakatoliki walishawahi kuvamia sehemu na wakaiba, kweli mkataa asili ni mtumwaKanisa Katoliki ndilo dhehebu tajiri kuliko madhehebu yote duniani!.
Utajiri mkubwa wa kwanza ni Warumi walivamia hekalu la Constantinople kule Uturuki waka loot kila kitu, wakaliteketeza, hizo loot wakaenda kujengea St. Peter's Basilica, Vatican!. Hiyo meza hapo ukutani ni pure gold!.
Ile fimbo ya Papa ni the oldest pure gold!.
Na kwa Tanzania ndilo dhehebu kubwa lenye waumini wengi kuliko dini zote, ni kanisa tajiri, na rais wa Tanzania anapokuwa ni Mkristo, ni lazima awe Mkatoliki!.
P
Zinakoinsdensishwa π π πKama unadhani ilitokea tuu by coincidence Julius Nyerere Mkatoliki akawa rais, ikatokea coincidence nyingine Benjamin William Mkapa, Mkatoliki akawa rais, na ikatokea tena coincidence John Pombe Joseph Magufuli Mkatoliki akawa rais, then this is amazing coincidence!, huwezi amini coincidence ina coidensishwa!, take it from me, EL angekuwa Mkatoliki, angekuwa, tatizo ni kanisa Katoliki haliwezi kuwapitisha Wakatoliki wawili wapingane!, kilichomfanya EL asiwe ni hizi sababu humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
Ukaacha na namba ya simuWe unasema hao walioshauriwa na Pengo. JK alipata elimu kupitia shule za Kikatoliki na kati ya washauri wake ni Papa Benedict.View attachment 2730509
Bado Rais Mwinyi alikuwa anapata madini ya ukweli kutoka kwa Papa John Paul II
View attachment 2730512
Kwa hiyo mama mkimuona anaenda Vatican kufuata ushauri msione kwamba ni jambo geni.
Sasa kwanini nyie wakatoliki mnakubali kuongozwa na waislam? Mnakataa kuongozwa na mkkkt mnakubali muislam!!!Kama unadhani ilitokea tuu by coincidence Julius Nyerere Mkatoliki akawa rais, ikatokea coincidence nyingine Benjamin William Mkapa, Mkatoliki akawa rais, na ikatokea tena coincidence John Pombe Joseph Magufuli Mkatoliki akawa rais, then this is amazing coincidence!, huwezi amini coincidence ina coidensishwa!, take it from me, EL angekuwa Mkatoliki, angekuwa, tatizo ni kanisa Katoliki haliwezi kuwapitisha Wakatoliki wawili wapingane!, kilichomfanya EL asiwe ni hizi sababu humu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
P
Mwarabu kashapewa bandari mzeeKUtoka vyanzo ndani ya ubaloz wa vatican tanzania
1.waarabu wakipewa bandari,agenda kubwa sio kuendeleza bandari bali kueneza uislam na waislam ndio watawale tanzania kwa miongo kadhaa
2.waarabu wakipewa bandari zote za majini na nchi kavu, basi wataingiza silaha kiholela na kuunda vikundi vya uasi na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe (watanzania )
3.waarabu wakipewa bandari,kuna mgogoro wa kimkakati utatokea bainabya visiwan na bara na hivyo visiwani wataamua kujitenga hasa ikizingatiwa upande wao hakuna bandari amepewa mwarabu.
4.mwarabu akipewa babandari si atafanya kaz zihusuzo bandari bali wataingilia mifumo mingine ya kitaasisi na kujinufaisha wao na mabwana zao waliowapa bandari....
5.mwarabu akipewa bandari kundi kubwa la vijana wa kitanzania watakosa ajira.
6.kwa kutukia mfano wa loliondo eneo analomiki mwarabu tangu miaka ya 90 na kupelekea vifo vya watu waliojaribu kupaza sauti kama hayati stan katabalo..vivyo hivyo wakipewa badari maisha ya watanzania yatakuwa duni mara mbili ya ilivyo sasa..
7.mwarabua akipewa bandari..mamlaka nyingi za ndan ya nchi zitapigwa marufuku kutekelez majukuku yao ndan ya maeneo aliyokabidhiwa mwarabu.
8.mwarabu akipewa bandari ,utamaduni wa kitanzania utaathirika na kufutika ndani ya miaka 30 ijayo..
9.watawala waliopo kwa sasa tanzania wamejikita katika kujenga "nchi" badala ya kujenga "taifa"
10. Mtanzanja ajengewe uwezo wa kuendesha mambo yake na sio kuendeshwa...
Maaskofu wakatoliki hawajakurupuka kwa wanachokifanya sasa..wanajua huko mbele nini kitatokea iwapo mwarabu atapewa bandari...
NB: The vatican intelligence and its fields of resources are second to none!!
From room NO.26 Gaborone..
Pascal Mayalla
Kuna matatu hapa.Nyie watu hivi mmechanganyikiwa nini? Wana nguvu gani?
Hizo hoja ulizosema hapo zote hazina msingi. Hizo ni fikra mgando ambazo mmekuwa mkilishana katika vijiwe vyenu vya kahawa huko alafu unakuja kutudanganya humu wenze akili zetu?
Sicilia nikwambie mtoa mada. Hakuna nguvu ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Hawana nguvu yeyote ile. Hata kwa Wakristo tu kwa sasa nchini Tanzania wakristo wengi wapo kwenye madhehebu ya kiprotestant na haya ndo madhehebu yenye ukwasi nchini kwa sasa.
Hata ukija kwenye oradea ya matajiri wa Tanzania. Ambao hawa ndo watu ambao unaweza sema wanaweza tetemesha nchi wengi ni waislamu na wachache waliobaki ambao ni wakristo wengi ni wadhehebu ya kiprotestant hasa walutheri.
Hiyo nguvu ya kabisa katoliki mmeitoa wapi?