Hapa ndo Prince Dube alianza pata gundu. Kilichowamaliza nguvu wachezaji wengi wa Yanga

Hapa ndo Prince Dube alianza pata gundu. Kilichowamaliza nguvu wachezaji wengi wa Yanga

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao.

So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa wanamaliza nguvu za wachezaji na tunajikuta inabidi kuwa boost sometimes. Wasipokuwa boosted. Unaona team inakuwa mdebwedo sana.

Screenshot_2024-11-28-11-49-43-408_com.instagram.android~2.jpg
 
Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao.

So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa wanamaliza nguvu za wachezaji na tunajikuta inabidi kuwa boost sometimes. Wasipokuwa boosted. Unaona team inakuwa mdebwedo sana.

View attachment 3164200
Scars Kalpana OKW BOBAN SUNZU Kiweriweri uran Tsh oneni huyu Uto..... anatoa shutuma.
 
Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao.

So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa wanamaliza nguvu za wachezaji na tunajikuta inabidi kuwa boost sometimes. Wasipokuwa boosted. Unaona team inakuwa mdebwedo sana.

View attachment 3164200
Siku mkipevuka na kuacha ujinga, mtakua mmesaidia sana soka la bongo
 
Hii haiwezi kuwa ni sababu ya msingi Bwana mdogo 😎🤝
 
Dube alisajiliwa Kwa sababu alipokuwa Azam alikuwa akimfunga Simba SASA ana wasiwasi gani ? Kusajiliwa kwake ni Kwa ajili ya mechi mbili moja imepita hakupata asubiri ya pili🤣🤣
 
Mademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao.

So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa wanamaliza nguvu za wachezaji na tunajikuta inabidi kuwa boost sometimes. Wasipokuwa boosted. Unaona team inakuwa mdebwedo sana.

View attachment 3164200
Kwa hiyo hao wachezaji hawajui madhara ya kutumikisha miili yao kwa wanawake kupindukia?Basi YAS imesajili mataahira.
 
Mvuta bangi always mvuta bangi...mgonjwa wa akili always mgonjwa wa akili..
Halaf mwnaume una kua na wivu namwanaume mwenzio akiwa na mwanamke, hizo dalili za ushoga
 
Back
Top Bottom