SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wachezaji wamejaa UTI viunoni kwa kugegeda vichecheMademu. Kuna mademu walitumwa na mikia kuharibu wachezaji wetu. Kuwamaliza nguvu. Ndo UBAYA UBWELA ile. Hawa Simba waliamua kutumia hii kauli wao wakisema sisi tulikuwa tunanunua sana wachezaji wao.
So wao Wamerudisha ubaya kwa style hii. Kuwaingizia mademu wengi wenye gundu Yanga. Hawa wanamaliza nguvu za wachezaji na tunajikuta inabidi kuwa boost sometimes. Wasipokuwa boosted. Unaona team inakuwa mdebwedo sana.
View attachment 3164200