Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Rushwa imefanywa kuwa mfumo rasmi wa polisiView attachment 3202420
Hizi rushwa kiroboto( rushwa ndogo ndogo) ndio zinawapa kiburi madereva wa daladala kuvunja sheria za barabarani mchana kweupe.
Dereva huwa anajiambia mtanifanya nini, Traffic polisi Janeti tunakula pamoja.
TAKUKURU, mmeiona hii clip inatembea mitandaonikwa kasi.
Sure man, wakale wapi na hali ishakua tight hivi hao wamejilipua tu liwalo na liwe mamakheAcheni u snitch mnataka wenzenu wakale wapi?
Watangaze ila usiendeshe gari yako ilionamakosa kibao barabarani na ww usifanye makosa through barabarani sasa ndio mtawajua wao naniHakuna utaratibu wala maadili ya kondakta wa daladala kushuka na kwenda kwa 'traffic police' anashikana mkono akiwa amekunja ngumi na kuikunjua wakati bado wameshikana; Hakuna mazungumzo yoyote yanayofanyika hapo ya sababu ya kuisimamisha daladala kisha kondakta kushuka na kwenda kwa askari wanashikana mkono anaondoka halafu trafiki anaweka kitu kwenye pochi ya kuwekea mashine ya EFD.
Madereva na kondakta wanakiri bila kutoa chochote kila tripu anayofanya atakamatwa na kuorodheshewa makosa mengi sana ambayo kuyalipa ni mpaka wamtaarifu tajiri ambaye wanatambua huwa hawataki kusikia zaidi ya kupelekewa marejesho waliyopangiwa..
Hao askari polisi wakichukuliwa hatua na hao makondakta na dereva ya Rumion nao wachukuliwe hatua za kisheria pia.
Mtoaji na mpokeaji rushwa wote kosa lao ni moja.
Acheni utetezi wa kipumbavuWatangaze ila usiendeshe gari yako ilionamakosa kibao barabarani na ww usifanye makosa through barabarani sasa ndio mtawajua wao nani
Hapa watakuwa wanachukua driving licence ili wakienda kwao wakaandike makosa kwa hawa madereva. Kwa kweli ni jambo la kujivunia na wanaonesha moyo mkubwa katika utendaji kazi wao. Safi sana.
View attachment 3202261
Kosa moja halihalalishi kosa lingine.Tukitaka haki anzeni na hao mapapa..
Vidagaa vinakusanya hela ndogo ambazo hata zikihesabiwa mwaka hazifiki robo ya wanazochukua hao mapapa.
Sitetei wafanya hiyo ila tutume na clip za hao mapapa wanavyokwapua hela zetu huko sio kuwaonea hawa tu.
Eating according to the length of their tetherAcheni u snitch mnataka wenzenu wakale wapi?
Halafu unaweza kuambiwa ni viongozi huko kwenye nyumba za ibadaHao waachwe bana!
Sasa watu wakale wapi ilhali hawalipwi living wage?
Let them be.
MBona CCM inaiba kura na hastuki.??Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama vile mwafanyaga kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
Updates: Polisi yachukua hatua juu ya hili
Mleta mada amejitahidi kukamata dagaa basi nawe jitahidi leta hata peregeTunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..
Riport za CAG ushaona nan ameshughulikiwa au hata kunusa mahabusu japo zinatoka kila mwaka?Mleta mada amejitahidi kukamata dagaa basi nawe jitahidi leta hata perege