Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa

Anasalimiana na wateja wake jamani hakuna ushahidi wa kupokea kitu hapo,case closed
Hakuna utaratibu wala maadili ya kondakta wa daladala kushuka na kwenda kwa 'traffic police' anashikana mkono akiwa amekunja ngumi na kuikunjua wakati bado wameshikana; Hakuna mazungumzo yoyote yanayofanyika hapo ya sababu ya kuisimamisha daladala kisha kondakta kushuka na kwenda kwa askari wanashikana mkono anaondoka halafu trafiki anaweka kitu kwenye pochi ya kuwekea mashine ya EFD.

Madereva na kondakta wanakiri bila kutoa chochote kila tripu anayofanya atakamatwa na kuorodheshewa makosa mengi sana ambayo kuyalipa ni mpaka wamtaarifu tajiri ambaye wanatambua huwa hawataki kusikia zaidi ya kupelekewa marejesho waliyopangiwa..

Hao askari polisi wakichukuliwa hatua na hao makondakta na dereva ya Rumion nao wachukuliwe hatua za kisheria pia.

Mtoaji na mpokeaji rushwa wote kosa lao ni moja.
 


Hizi rushwa kiroboto( rushwa ndogo ndogo) ndio zinawapa kiburi madereva wa daladala kuvunja sheria za barabarani mchana kweupe.

Dereva huwa anajiambia mtanifanya nini, Traffic polisi Janeti tunakula pamoja.

TAKUKURU, mmeiona hii clip inatembea mitandaonikwa kasi.
 

Attachments

  • IMG-20250106-WA0035.jpg
    IMG-20250106-WA0035.jpg
    119 KB · Views: 1
Japo sipend rushwa ila hii sio njia sahihi sana kuwaadhibisha wahusika..
Kuna maisha baada ya hichi kitu ulicho post.

Tunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..
Hujatumia akili kujibu, kwa hiyo tuache rushwa iendelee kisa, vidagaa?
 
Japo sipend rushwa ila hii sio njia sahihi sana kuwaadhibisha wahusika..
Kuna maisha baada ya hichi kitu ulicho post.

Tunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..
Tunaanza chini kwenda juu na hao ma papa watafikiwa tu jifunze kupitia NCHI kama Botswana na Rwanda
 
Basi hao wakifukuzwa kazi mkuu roho yako kwatuuuuuu, alafu wanaopiga billions of money mnakuja kuwaimbia pambio humu.
Hawa ndo kesho watapanda vyeo wakapige billions huko


Hakuna mtu Hali kazini kwake lakini this is too much and very open aisee
 
Jiwe ndiye aliibariki rushwa hii, akasema wanakusanya za kubrashia viatu.

Madikteta yote duniani huwa yanajikomba kwa vyombo vya dola. Kwahiyo hawatafanywa kitu.
 
View attachment 3202420

Hizi rushwa kiroboto( rushwa ndogo ndogo) ndio zinawapa kiburi madereva wa daladala kuvunja sheria za barabarani mchana kweupe.

Dereva huwa anajiambia mtanifanya nini, Traffic polisi Janeti tunakula pamoja.

TAKUKURU, mmeiona hii clip inatembea mitandaonikwa kasi.

 
Hakuna utaratibu wala maadili ya kondakta wa daladala kushuka na kwenda kwa 'traffic police' anashikana mkono akiwa amekunja ngumi na kuikunjua wakati bado wameshikana; Hakuna mazungumzo yoyote yanayofanyika hapo ya sababu ya kuisimamisha daladala kisha kondakta kushuka na kwenda kwa askari wanashikana mkono anaondoka halafu trafiki anaweka kitu kwenye pochi ya kuwekea mashine ya EFD.

Madereva na kondakta wanakiri bila kutoa chochote kila tripu anayofanya atakamatwa na kuorodheshewa makosa mengi sana ambayo kuyalipa ni mpaka wamtaarifu tajiri ambaye wanatambua huwa hawataki kusikia zaidi ya kupelekewa marejesho waliyopangiwa..

Hao askari polisi wakichukuliwa hatua na hao makondakta na dereva ya Rumion nao wachukuliwe hatua za kisheria pia.

Mtoaji na mpokeaji rushwa wote kosa lao ni moja.
Hayo maadili kwa mujibu wa sheria gani?
 
Waachane kushinda barabarani na jua lote hilo na vumbi unazani mchezo mwacheni akanywe maziwa mam wawatu
 
Back
Top Bottom