Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Viwandani, huyu jamaa kapiga picha akiwa ghorofa ya kwanza pale Kiwanda cha soda mshindani wa Kiwanda cha Reginald Mengi.Nyerere Road ni kubwa. Ni eneo gani hapo Nyerere Road?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viwandani, huyu jamaa kapiga picha akiwa ghorofa ya kwanza pale Kiwanda cha soda mshindani wa Kiwanda cha Reginald Mengi.Nyerere Road ni kubwa. Ni eneo gani hapo Nyerere Road?
Mkuu,Kwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!
Yani Rushwa imefanywa sehemu ya maisha ya kibongo. Mtu huyo anasomeshea watoto na kulisha familia kwa fedha haramu. Unaoa mtto aliyesomeshwa kwa laana alafu mnakimbilia kwa mwaposa kungoa laana za mababuKwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!
Umeishia level gani ya elimu mkuuJapo sipend rushwa ila hii sio njia sahihi sana kuwaadhibisha wahusika..
Kuna maisha baada ya hichi kitu ulicho post.
Tunahangaika na vidagaa tunawaacha mapapa serikalini waokwapua mabilioni ya hela kwenye miradi .
Tena hela ambazo zimekusanywa tayari.. Si bora huyu ni hela ambayo hata haijaingia serikalini..
JF kuna watu wanafiki sana. Mtu akileta thread hapa akisema kakamatwa na traffic akaombwa atoe rushwa watatoa povu kulaani huyo askari, leo anafanya hicho hicho kwa daladala watu wale wale wanaona ni kitendo sahihi.Wrong is wrong even if everyone is doing it,
Right is right even if no one is doing it,
Unasapoti rushwa halafu ikitokea ajali wakafa watu utamlaumu nani? au utawalaumu hao hao wanaokula rushwa ambao wewe sasa hivi unawasapoti hapa?
Hakuna rushwa ndogo wala kubwa,rushwa ni rushwa,mla rushwa na mtoa rushwa wote ni wakosaji,
Rushwa ndogo ndio hupelekea mtu kupokea rushwa kubwa.
Ukisoma thread kama hizi ndio utajua uelewa wa Watanzania. Usije kushangaa huyo ni degree holder kabisaUmeishia level gani ya elimu mkuu
Au mtu anakuja kulalamika hapa kua hupati Passport bila rushwa,JF kuna watu wanafiki sana. Mtu akileta thread hapa akisema kakamatwa na traffic akaombwa atoe rushwa watatoa povu kulaani huyo askari, leo anafanya hicho hicho kwa daladala watu wale wale wanaona ni kitendo sahihi.
Mnashidwa kuhangaika na watu wakubwa mapapa wanaokula billions of money mnahangaika na hawa samaki wadogo ambao ni wazi ujira wao ni mdogo ma maisha yanapanda bei kila kukicha....shame on you.Hapa ni wapi, hawa wanajulikana, Kamanda Mulilo, IGP Wambura hapana naona mtaharakisha kutoa press Release kama mfanyofanya kwenye matukio mengine.
Zaidi kongole kwa camera man wa kujitegemea.
View attachment 3202252
Ni halali sio mpaka iandikwe kwenye vitabu.Kwa hiyo unataka rushwa ihalalishwe!!?ati kwa kuwa maisha magumu!!,,na mtoa rushwa inamaana maisha yake si magumu??!,,watu wengine bhana!!
Hahahah hii kama kuna traffic ni permanent post yake kitamlamba 😂😂Nyerere road hii kwenda Gongo la Mboto😆😆
Kweli kabisa...chanzo kiko juu hukoMfumo wa kurekebishwa kuuanzia juu
Huku chin wanatafutia kik tuu
Sheria ifate mkondo
inasikitisha sana,Ajabu ni kwamba hata jamii inaona ni sawa kinachofanyika, kwamba huyu polisi wa barabarani anachofanya ni sawa tu, kumbe haya yanafanyika mahakamani, mashuleni, ofisi za umma zenye kuhitaji watu wapate haki kama tra, nssf. Watu wananyimwa haki zao ila sisi mbumbumbu tunaona it's okay, wale kwa urefu wa kamba zao. Afrika imejaa watu wajinga tu, tupo nyuma sana...
Kwa utafiti wangu mdogo kwenye hii thread nimegundua sisi OLD GUARDS ndio tunaona si sawa. Hawa new gen z wanaona sawa na ndio utaratibu mzuri wa maisha.inasikitisha sana,
Nadhani watanzania wengi hata hawajui wanataka nini, inasikitisha sana!
Kwa utafiti wangu mdogo kwenye hii thread nimegundua sisi OLD GUARDS ndio tunaona si sawa. Hawa new gen z wanaona sawa na ndio utaratibu mzuri wa maisha.