Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Hapa nishaibiwa au niendelee kujifariji?

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?

Acha kuumiza kichwa wewe
 
mapenzi sio pesa lkn
Acha kujidanganya bro, hakuna penzi kwenye shida za hivyo, we unanafuu humjali mwenzio yeye abaki anateseka kisa penzi hamna kitu kama hicho. Na vile kakutana na wanaume wa Kichaga wanajua kuhonga na kupetipeti watoto wazurii, kazi unayo na ubahiri wako mdogo wangu.
 
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa Morogoro(SUA) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu Moshi (Mweka), lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa.

Nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga hadi saa 7, sms nikituma hajibu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana.

Naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Huyo Dada ndo tayar hivyo hata mimi ilishanitokea hivyo hivyo tatizo ni malimbukeni kwa majitu waliyokutana NAyo tu ghafla nakutuona sisi tunaiwapenda na kuwathamin hatufai cha muhimu ni kunyamaza tu kama bado anaupendo atakutafuta kama hana hatokutofuta na Ww usipoteze muda chukua chombo kingine hawa wanawake wa chuo ni hewa hasa ukiwa nao mbali huyu wangu ckumoja nilimvulia uvivu nikamwambia aseme moja kama yuko in or out akaanza kujing'atang'ata ila mwsho akasema anampenz mwingine basi na Mimi toka hapo nikampotezea sa hivi ni salamu tu hata moyo hauumi tena kwanza wasichana warembo wako wengi sanaaaaaaa
 
Back
Top Bottom