Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]et we zombii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee pole sana mkuu ukiona manyoya ujue kuku keshaliwa.
 
Hao mbuzi hata sio wa kuwa amin kabisa tena akirud jfanye huna habari nae hata mwez mzma
 
Pole sana ndugu yangu kama hiki kisa ni cha kweli na huyu ni mke wako basi hesabu maumivu.


Kwa kuwa umeshaumia basi tunaomba yatokanayo utusmuliw mlikutana wapi mlianza vipi Mahusiano ili tuokoe vijana wengine.

Yangu ni hayo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…