Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Unatombewa bro tena fanya haraka
 
Mkuu tuanzie hapa kwanza

vipi ulienda ofisini kwake kuulizia kama mkeo kasafiri kweli kuelekea dodoma kikazi na je, ulipeleka lalamiko kwa mkurugenzi wake akuambie mkeo yupo maeneo gani maana hapatikani na una wasiwasi na usalama wake kama mume wake?

kama mwanaume fanya huo utaratibu hapo juu kimnyakimnya ila tambua mtu mzima hachungwi yupo dodoma anazagamuliwa kisawasawa na huu ndiyo ukweli.

Piga kimnya akirudi ,piga kimnya msuse alafu uwe busy na mishe zako yani usimuonyeshe dalili yeyote ya kuumizwa au kuteseka kwake . Jikaze kiume atajirudi tuu. Yani mpotezee hata akirudi ishi nae kama unaishi na msela geto busy na michongo yako na hakuna kugusa kitumbua yake. Alafu uje ulete mrejesho
 
maamuzi yake ya mwisho yawe yap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…