Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

Daah broo pole ! Yaan wanawake bana wahenzi sana mtu akimuwini kidogoo tuu ana sahau mtu wake maana kabisa ,!! Usahaur akirudi mpokee, kwa afya yako mpime magonjwa ya zinaa na vvu , kwa kulinda familia yenu
 
sawabhana, mwambie homu watoto wana mlilia
Haina noma ntamwachia, sema akirudi home mwambie aboreshe usafi wake binafsi bn unaishije na mke vuzi Amazon 🤔kwapa njano, kanambia ww unakaa tu home una gubu kinoma skia usiwe unakaa sebuleni mda wote kasake chochote sio kila siku yy ndo breadwinner
 
life is full of uncertainities chief
 
We zombiii haujui simba la masimbaaa dangote..........
Shituka mkuu unakaribia kutekwa.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…