🤣🤣🤣🤣🤣habar yetu mimi na yeye ndio itakua ilikomea pale kwenye "we zombi, haujui, na simba la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣habar yetu mimi na yeye ndio itakua ilikomea pale kwenye "we zombi, haujui, na simba la
🤣🤣🤣🤣🤣We zombie eeh apo jamaa lina ichomeka..haujuii apa jamaa lina chomoa..simba simba dangotee hapo jamaa lina imwagia ndani
naona unacheka sana chief🤣🤣🤣🤣🤣
sahihi chief, tatizo upendo wangu kwakeKuwafundisha somo watu wa hivi ni rahisi sana... Ila unatakiwa kuwa na roho ngumu... Nenda sehemu ya mbali kutafuta maisha kata mawasiliano nae... Kama ni simu mwache apige yeye.... Usihangaike kumpigia.... Pambana kubali kuanza upya katika utafutaji.... Kumbuka kusave....
Wadau wananichekesha vipi sakata lako limefikia wapi?naona unacheka sana chief
nitalitolea ufafanuzi.Wadau wananichekesha vipi sakata lako limefikia wapi?
Unalitolea ufafanuzi hapa hapa au unafungua Uzi wake kabisanitalitolea ufafanuzi.
pitia huu uzi, kuna part: 2 yakeUnalitolea ufafanuzi hapa hapa au unafungua Uzi wake kabisa
Nimeiona Ila hujafafanua kwa kina umempataje na kwa mazingira yapipitia huu uzi, kuna part: 2 yake
Bambalaga imefulia siku hizi inawika Rainbow. Wamejaa kila aina hapa.Huko dom ni hatari na hiyo zombi haujui alikuwa yupo bambalaga masta
nitaimalizia nikikaa sawaNimeiona Ila hujafafanua kwa kina umempataje na kwa mazingira yapi
Ungeweka hapa ungekuwa poa sio mpaka uedit kwenye page ya hiyo story uliyoweka watu wengi hawataonanitaimalizia nikikaa sawa
nitaweka chiefUngeweka hapa ungekuwa poa sio mpaka uedit kwenye page ya hiyo story uliyoweka watu wengi hawataona
tumeoana/tumefunga ndoaKaoa au kaolewa, maana kuna wanaume wanaoolewa siku hizi na manyanyaso wanayopata Mungu anajua. Kama kaolewa na hana maisha bila ya huyo mwanamke, atafute maisha kwanza, apate pesa vinginevyo kijikomboa itakuwa ngumu sana.
Wahuni wamemwacha salama?Nime mpata mkewangu ,now nikosafari narudi dar