Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.Mapenzi ya mtandaoni umeyaonaje, una ushauri wowote?
Naomba niwe msuluhishi asee[emoji22]Thanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.
Shukrani best longtime aisee. Nafurahi pia kukuona tena.Kuna ID nikiziona nafarijika sana maana naikumbuka chitchat ya kipindi cha nyuma
Hongera kwa kuongezea miaka
Mungu akuongezee na hekima busara na akupe mapambano yanayo fanana na uwezo wako na akupe hitaji LA Moyo wako kwa wakati
Zile 2-3 anniversaries na smart zilikuwa ni kabla ama baada ya ndoa yako ya sasa?Yes am married na nina two kids.
Asante mkuu dunia tunapita na mapito yake unapo ona mnaonana hapa jukwaani basi tunasemaShukrani best longtime aisee. Nafurahi pia kukuona tena.
Haaahaaa [emoji16]Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Mmmh[emoji849][emoji849]Zile 2-3 anniversaries na smart zilikuwa ni kabla ama baada ya ndoa yako ya sasa?
BTW happy birthday my dia
😂🤣🤣 kabla netwek haijakata nijibu mieKomenti ziwe fupifupi na mambo yasiwe mengi wapendwa nipo juu ya kichuguu huku kuna netwek problemee
Hahahahaa. Rafiki naona umetupa ruhusa tukufunue. 🤣🤣🤣🤣Komenti ziwe fupifupi na mambo yasiwe mengi wapendwa nipo juu ya kichuguu huku kuna netwek problemee
Daaaah..!, any way happy birthday to you...[emoji488][emoji485][emoji898][emoji484][emoji3164][emoji481][emoji482][emoji1635]Thanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.