Ooooh!Mlifahamiana kiJF na kuachana kiJF
Hakuna jambo real lilitokea nje ya JF?mlikuwa too cute to be in a fake relationship jamani 😔😔
😂😂😂Sikujua kumbe kuna timu humu
Khaaaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]Happy birthday Mahondaw.
Swali langu ni hili:
Ni kweli hii akaunti yako na ile ya Smart ni za watu tofauti?
Kwa udogo wangu wa akili nimegundua unaandika kama mwanaume and sijawahi amini kama hizi akaunti mbili haziendeshwi na mtu mmoja.
Ahsante
Utalimwa kichwa oohoo[emoji16][emoji16][emoji16]Ohooooooo jamen yashakuwa haya tenaa
Kumbe id ni moyaa [emoji2303][emoji2303]
Nachanganyikiwa kwa mambo yasonihusu 😂😂😂Khaaaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Kwamba mahondaw ni kidume?
No wonder[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
😂😂Utalimwa kichwa oohoo[emoji16][emoji16][emoji16]
Darfur Sudan
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Don't take that too seriouslyKanivuruga haki mfano hakuna...
Hivi kama wanawake na wanaume wa humu JF ndo wamtaani tukimbilie wapi??
Najionea shida tu
Yaani ulikuwa ndani ya ndoa, ndugu yetu Smart911 alikuwa mchepuko, na bado ukamcheat tena... Yaani umemchepukia mchepuko.. [emoji23][emoji849][emoji848]Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
Nini tena best [emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We injinia soma hiyooooo!
Tatizo mahondaw umepanikiKwakua team yako baaedhi walishatia maguu humu tayari wanafukunyua! Hapa ni kheri tu aisee
NimewonderKumbe mzigua ana timu humu[emoji23][emoji23]
Hongera na pole kutoishi ndoto zako za sekta ya afya. Nilichelewa kupata notification nikawa napitia comments nikaona mjeda pale na Sudan mission nikamfananisha na ndugu mmoja ila yeye mke wake ni nurse. Ila sasa wewe hauko sekta ya afya.thanks mpendwa, kwasasa naishi bukoba,, niliwahi ishi moro, dar, mwanza, kigoma, arusha, na mbeya. Nilizaliwa moro mazimbu huko elimu primary sua, olevo kilakala, advance moro sec, chuo UD. Experience naifeel sana sekta ya afya sema physics na kemia viligoma kabisa aisee viligoma mapemaaa form two huko!
😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mahondaw mbona unanichamba asee
Nimekukosea nini walah[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Na wewe ushawahi hisi hivyo eeh?Khaaaaaa[emoji849][emoji849][emoji849]
Kwamba mahondaw ni kidume?
No wonder[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dina dina dina sitaki chambwa wima mimi nmeshakuambia jamani!! Its not good kumzungumzia kwenye upupu wangu jamani! Ebu niulize kuhusu other aspects of life basi! Au kama ni mahusiano iwe upande wangu usimuhusishe mkaka wawatu jamani hivi unataka nilie lol! Nimemkosea sana vyakutoshaYaan leo smart haji hapa kabisa kweli mashemeji tunahangaika hapa hii couple irudiwee irudiwe
Anachagua cha kuulizwa na sijui kilichompanikisha nini.Tatizo mahondaw umepaniki
Wee mwenyewe umesema tukuulize maswali now unakuwa mkali tena
It's not fair at all
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Poa Best.. Miss you DearHebu nitafute my dear jomoni
Miss u dear[emoji8]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hili neno 'wabishi sana' analipenda smart kilitumia[emoji848]Kweli binadamu ni wabishi sana!