Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Karibu mkuuNingefurahi kweli yani....
kuwa sehemu ya kampani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuuNingefurahi kweli yani....
kuwa sehemu ya kampani
Hivi kumbe nina timu eeeh? Asante kwa kunijuza.Kwakua team yako baaedhi walishatia maguu humu tayari wanafukunyua! Hapa ni kheri tu aisee
Usinigombanishe jamani nikachambwa maana mweee
Na mimi ndo nimejua leo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe mzigua ana timu humu[emoji23][emoji23]
Shukran sanaKaribu mkuu
Aaaah wapi mkuuShoo haya maneno mbona ivi amekufanyeje mkaka wawatu mpaka utumie lugha mbaya hivi?? He's very rich gentleman handsome muelewa sana asiekuwa na maneno makuu wala vurugu namtu, walaa si mzee kijana tu ambae hata wewe ukimuona nakumjua vizuri mate lazima yakutoke!
Hahaha..! Demu mmoja mchaga mhaya alikuwa anadanga sinza[emoji23][emoji23][emoji23]
Happy birthday mahondaw Mimi nahisi umeolewa lakini hauko happy na ndoa yako,Uko mguu nje mguu ndani.. pole sio kitu cha kustaajabisha, lol... umefanya vizuri kuachana na Smart ili u focus na ndoa yako, ila kama ndoa haifanyi kazi rudiana na smart Naona Uko happy nae... Maisha mafupi haya [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji1787]
Naonaga hivyo tu. Birthday girl mwandiko wake umekaa kiume kiume kila nikimsomagaNdio umegunduaje kuwa ni id moja funguka basi we ndio umesema
So sorry Smart911Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]we nae uliza swali hapaSio hivyo, ni hivi [emoji116][emoji116]
Au revoir (tamka ohe vwaa)
Naonaga hivyo tu. Birthday girl mwandiko wake umekaa kiume kiume kila nikimsomaga
Mkuu nitake radhi asee
😂😂😂😂
What. Hapana aiseee. Mm na demu wangu humu tulitaka kufata nyayo zenu.Thanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.