Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Kilakala mwanangu anatamani asome hapo
 
Niseme tu usiamini kila tunachoandika humu au mitandaoni mingine mpaka uwe na ukaribu na kumjua huyo memba ile ya face to face yani nje ya jf katika uhalisia wake. Nyuma ya keyboard Kuna uongo na ufeki mwingi sana.
Hapa umenena, nakubaliana sana na ukweli huu[emoji120][emoji120]
 
Unapenda uzee eh? Shauri yako ukaribishe tu haukawii kupiga hodi. Yule dhalimu alikuwa busy na kifo. Kifo kifo kifo mimi siogopi kifo kifo kifo sijui Mungu akinichukua nikienda mbinguni hadi kifo kikasikia hakikufanya ajizi. Siku hizi wanamuita MWENDAZAKE 😂😂😂😂😂
Miaka ishaenda tushazeeka ngozi zishasinyaa
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahisha
 
Hivi mahondaw una watoto wangapi?!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…