Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Mjeda yuko zake darfuri huku nyuma mabaharia wanamtafunia [emoji23],halafu unawaweza kukuta demu kadi ya bank anayo yeye akienda kutoa pesa anaenda na mchepuko wake [emoji23]
Inamuaga Sana yaani acha mzeee

Ndio watu wanapiga na kuua halafu tunaonekana wanaume makatili kumbe baadhi ya wanawake hamnazo kabisa[emoji1787]
 
Mtake radhi mkaka wawatu wity mimi ndie kivuruge niliemcheat kama ni kunitukana kama ni kunichamba nichambe mimi na si mkaka wawatu pullllizz! Muombe msamaha aisee!
Hahahahhaha nimecheka hapo @witnesj alipoluuliza "eti smart Ni mtu mzima kiaheti"

Mtu mzima kiaheti yukoje[emoji1787]
 
Happy Birthday

Maswali ni mengi
Lakini ngoja nikaushe tu
Mana wengine sio wabishi[emoji23]
 
Kumbe na wewe una utaratibu huo? Unakuta mtu ana new ID halafu anajua mambo ya humu kibao!
Hahahahah watu wako humu kitambo sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tangu enzi za akina bishanga na mwita
 
Yaani Kuna vitu hupaswa vitamka hadharani hasa kifo chako .

Mwendazake Kama alikuwa anajitabiria
 
Nakwambia kipindi cha CC fulani tuliteseka nakumbuka huyu bibie aliwahi kuniandikia kwenye comment sina bahati ndio maana sina baby Jf [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah
 
My man hajui hata kitu kinaitwa JF
Whatsap nilimdownlodiaga mimi

Akajaribu insta akashindwa akafuta
Facebook nayo akawa anauliza jinsi ya kutumia yakamshinda akafuta[emoji23][emoji23][emoji23]
Daah Jamaa bado Yuko industrial age watu wako information age[emoji1787]
 
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…