ππππEti mtumzima kishetiMchuchu wake wa humu?
Sasa mbona ulimharibia mwenzako wakati hajaolewa while we una ndoa yako?
Kaswali ka mwisho dear..
Eti smart ni mdingi mtu mzima kisheti?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha haki unanifurahisha unavyosifia [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Unanivunja mbavu huku unavyonigunia leo [emoji1787]
Mumeo ndiye aliyekuwa CC wa hapa jamvini?Yes am married na nina two kids.
Haaahaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haya mambo ya baby baby hakuna hapa!!
Napenda kuona watu wanaachana kama hivi mlivoachana safi sana pumbavu!!!
Jamaniii si kaandika tumuulize maswali angejiwishi tu maswali yangetoka wapiπππOna dear, funguka watu waache miswali yao ya ajabu ajabu humu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Namuaminia ngoja amalize kupata lunch..Jamaniii si kaandika tumuulize maswali angejiwishi tu maswali yangetoka wapi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan huyo mchuchu aloachana na smart yupo humu jf?Hahaha haaa
Mi nataka smart nimrudishe kwa mama wa mahaba, mahondaw kamharibia mwenzie asee!
Ule uhusiano lazima tuurudishe
Uwongo Dina?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Allahuma AaaminπNikutakie kila lenye kheri na baraka zake Mola kareem...
HBD ya nguvu always uwe imara na Afya muruwa.
Bila mzaha au bila ajizi... chagua Zawadi !!
Good Luck
Yule aliekosana nae, yumo humu humu, sema siku hizi simuoniKwan huyo mchuchu aloachana na smart yupo humu jf?
Umrudishe kwa mahondaw au ?yule alokosana nae?
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe Smart911 kuja hapa usibitishe kwamba uyu demu hujamla pumbavu!!
Heee unamjua??Yule aliekosana nae, yumo humu humu, sema siku hizi simuoni
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mumeo anaijua JF? Kama ndio, hakuwahi kuifahamu ID yako hata siku moja?Asante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
DuuhHeee unamjua??
Haya mambo ya baby baby hakuna hapa!!
Napenda kuona watu wanaachana kama hivi mlivoachana safi sana pumbavu!!!
Haaahaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mwehu wewe[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lol!Alikukula mara ngapi...jus try to remember [emoji39][emoji39]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app