Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mhhhhh......😂😂 kwan ni urongo
Kuna watu walikua wanasema hili neno wataachana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhh......😂😂 kwan ni urongo
Weee somo la wenye misuli hilo nilikua napana 16 20 hahaa mwalimu alikua ananipigaje nyuma ya vidole mkononi na ma micrometer screw gauge ndo nikalichukia kabisa!Physics is the branch of science concerned with the nature and properties of matter and energy.
Somo tamu sana hili mahondaw.
Enjoy your Birthday weekend on a month end.
😄Weee somo la wenye misuli hilo nilikua napana 16 20 hahaa mwalimu alikua ananipigaje na ma micrometer screw gauge ndo nikalichukia kabisa!
Huyo smart mbona kapotea humu au ID ishapigwa panga shaaHahaha asante dia sema ndo imeisha hioo
Aisee una hatari kwa hiyo Kati ya watoto wako wawili yupi wa mchepuko (Smart)yupi wa njia kuu maana uliwahi kuandika umebahatika baby na SmartKhakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Mkuu heshima yako[emoji119][emoji119]Mbona najua we upo juu[emoji23][emoji23] hapa unajitahidi sana ku lay low[emoji39][emoji39][emoji39]
Sawa umeelewekaHahaa najua hamuwezi kuelewa venye tulivyowaaminisha kwa kipindi chote kile! Ni hivi mfano wewe in real life umewowa na una familia yako kabisa ila huku jf katika chatichati ukakutana na mchuchu mwingine feelings zikaumana so huku jf mnabebisha kama kawa ila in reality u mume wa mtu! Sijui mmenielewa ndugu zangu Chakorii Joanah Shadow7
Na katuvuruga kweli huyu mtoto wa mjini[emoji16][emoji1787][emoji1787]Hapa kina mvurugano Sijaelewa wala
jamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.Yaan ulikuwa ushaolewa lakin unacheat na smart
Smart hakujua kama umeolewa
Na kama hivyo kwanin ulimdanganya jamani
Anyway Happy birthday Mahondawa
Alikukula mara ngapi...jus try to remember [emoji39][emoji39]Khakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Je yeye smart alikuwa ameoa au?Hahaa najua hamuwezi kuelewa venye tulivyowaaminisha kwa kipindi chote kile! Ni hivi mfano wewe in real life umewowa na una familia yako kabisa ila huku jf katika chatichati ukakutana na mchuchu mwingine feelings zikaumana so huku jf mnabebisha kama kawa ila in reality u mume wa mtu! Sijui mmenielewa ndugu zangu Chakorii Joanah Shadow7
Si ajabu na hapa unapigwa kamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan ulikuwa ushaolewa lakin unacheat na smart
Smart hakujua kama umeolewa
Na kama hivyo kwanin ulimdanganya jamani
Anyway Happy birthday Mahondawa
Bado mtamu kumbe.,..!!31 years of age!
Si tumeambiwa tusiamini kila kitu cha mtandaoni, ?? May be nazo zilikuwa fake pia !!![emoji23][emoji1787][emoji1787] kabla netwek haijakata nijibu mie
Lol kivipi jamani!Na katuvuruga kweli huyu mtoto wa mjini[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo smart hakula nunu yako kabisa 🤪🤪 weejamani dina nilikua namkeep bize jf tu by the time walikorogana nakuachana na aliekuwa mchuchu wake fulani! So the man was lonely.
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunafukua kaburiAisee una hatari kwa hiyo Kati ya watoto wako wawili yupi wa mchepuko (Smart)yupi wa njia kuu maana uliwahi kuandika umebahatika baby na Smart