Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Mi nasema Mara.....ba kwa niaba ya ....wazee wenzangu
Mi sina la ziada kwa hapa ndugu[emoji3][emoji3]
🤔😂😂Binamu naruhusiwa kumpokelea? 🤣🤣
Mbona najua we upo juu[emoji23][emoji23] hapa unajitahidi sana ku lay low[emoji39][emoji39][emoji39]Haaahaaa [emoji16]
Haaahaaahaa [emoji1787]
Kuna watu hawalijui hili[emoji22] Poor them
Mi ukinijudge Jf mbona utakoma kwenye uhalisia wangu[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hapa kina mvurugano Sijaelewa walaAsante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
Khakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.Kwahiyo ile mihela iliyokuwa inapostiwa humu kipindi kile ilikuwa ni kamba?[emoji3]
By the way happy birthday my friend.
Nipo Binamu.Binamu umenisusa binti al-Ladhina!!
Kumpokelea " fal yatafadhwalu Mashkurra "
Hahaa najua hamuwezi kuelewa venye tulivyowaaminisha kwa kipindi chote kile! Ni hivi mfano wewe in real life umewowa na una familia yako kabisa ila huku jf katika chatichati ukakutana na mchuchu mwingine feelings zikaumana so huku jf mnabebisha kama kawa ila in reality u mume wa mtu! Sijui mmenielewa ndugu zangu Chakorii Joanah Shadow7Sijaelewa!
Haaahaaa [emoji16]
Haaahaaahaa [emoji1787]
Kuna watu hawalijui hili[emoji22] Poor them
Mi ukinijudge Jf mbona utakoma kwenye uhalisia wangu[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Acha umbea
Huu ni uchokozi😂😂Je, wewe ni singo maza?
Khakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Mimi nataka nilete keki face to face bday wish na maswali nitauliza huko huko utakaponipa location
Nimefungua seminary ya kufundisha/kuwafundisha lugha za kimataifa... karibu njoo ujiunge.Nipo Binamu.
Hahahaaa. Kwa hii lugha naona umeamua kuniacha gizani bina.