Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

Happy Birthday to me, kwaheri ujana. Sasa ni muda wa busara za kiutu uzima

Mpendwa Heriel, salamu.
Hongera kwa siku yako ya kuzaliwa. Mimi ni mjadi sisherehekei siku ya kuzaliwa kwani wazazi wangu hawakuwahi kusherehekea wala kuandaa sherehe ya kuzaliwa kwangu. Kijijini kwetu sikuwahi kusikia au kuona familia au mtu binafsi anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Hata hivyo hii ainifanyi mimi nisifurahie na kuwaunga mkono wale wanaosherehekea siku yao ya kuzaliwa. Happy Birthday Heriel.

UMEKUWA CHUMVI YA ULIMWENGU. Hoja zako zilinifanya nifikiri tofauti, zilinihamasisha na wakati mwingine zilikuwa mafunzo na tahadhari kwa vijana, watu wazima na wazee.

Nilikufuatilia sana nilipopata muda. Kidogo unataka kufanana kimaandishi na marehemu MUNGA TEHENAN. Sijui kama uliwahi kumfahamu.

Nipenda stahili yako ya kuandika. Nashauri mawazo yako yaweke kwenye kitabu. Tununue tusome na wanetu na wajukuu.

Ngoja nipumzike sasa(staili yako ya uandishi). Ha ha ha ha.


Aalibaliyo
 
Mpendwa Heriel, salamu.
Hongera kwa siku yako ya kuzaliwa. Mimi ni mjadi sisherehekei siku ya kuzaliwa kwani wazazi wangu hawakuwahi kusherehekea wala kuandaa sherehe ya kuzaliwa kwangu. Kijijini kwetu sikuwahi kusikia au kuona familia au mtu binafsi anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Hata hivyo hii ainifanyi mimi nisifurahie na kuwaunga mkono wale wanaosherehekea siku yao ya kuzaliwa. Happy Birthday Heriel.

UMEKUWA CHUMVI YA ULIMWENGU. Hoja zako zilinifanya nifikiri tofauti, zilinihamasisha na wakati mwingine zilikuwa mafunzo na tahadhari kwa vijana, watu wazima na wazee.

Nilikufuatilia sana nilipopata muda. Kidogo unataka kufanana kimaandishi na marehemu MUNGA TEHENAN. Sijui kama uliwahi kumfahamu.

Nipenda stahili yako ya kuandika. Nashauri mawazo yako yaweke kwenye kitabu. Tununue tusome na wanetu na wajukuu.

Ngoja nipumzike sasa(staili yako ya uandishi). Ha ha ha ha.


Aalibaliyo

Mkuu nashukuru sana kwa appreciation.
Munga itabidi nimtafute nijue ni nani. Sijawahi kumfahamu.

Nachukua ushauri wako kuhusu kuandika baadhi ya maandiko yangu kwenye kitabu.

Barikiwa sana Mkuu
 
Happy birthday jamaa tuko kwenye flow moja hila 30 inatisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom