Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kama uko na afadhali mfukoni jaribu kuita watoto uwapatie zawadi.wanapofurahi na mambo yako yanafunguliwa
Hbday Robert
Kumbe tumeshare mwezi
Happy birthday to you mkuu
Nakutakia maisha marefu na yenye baraka
Kamwe endelea kutowaonea huruma wanawake uishi miaka mingi duniani
Miaka mingapi sasa mkuu?
Vizuriπππ
Shukrani Sana mkuu.
Mimi Wanawake ninawapenda, Ila haimaanishi ninawaonea huruma.
Shukrani MkuuHappy birthday to you Robert Heriel Mtibeli
dogo haya nimambo ya kike na kishoga.
dogo haya nimambo ya kike na kishoga.
Happy birthday taikon hata kama hawajakupa tuzo ila ulitakiwa na ww upewe tuzo yako[emoji109][emoji109]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuzungumze nnNashukuru Sana Mkuu.
Itabidi tuzungumze sasaππ
Happy birth day brother , iwe heri kwako kila leo.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app