Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWENYEZI MUNGUHello everyone 😊☺
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi 😊🤗
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana. I used to keep that happiness of you my parents ( I love you 😍😘)..
Pia nitoe pongezi kwa ninyi wanaJf wote ambao hamjawahi kunifanya nijute kuwepo humu😄😄...mmekuwa ni watu wakunifanya niwe na furaha muda wote, ningekua na uwezo ningefurahia na nyie wote kwenye hii siku yangu special. Nawapenda sana.
Natamani nijaze hata page kumi maana nina mengi ya kuzungumza, ila acha niishie hapa
HAPPY BIRTHDAY TO ME 🎉🥳🥳😄🎂🎈 View attachment 2699335
Thank you Chiwa ,,, barikiwa sana 🙏🏼MWENY
MWENYEZI MUNGU
akupe faraja pale ulipoumizwa
Kibali kwa kila mtu uingiapo na utokapo
Malaika wakakutangulie uendako wakiwapiga watesi wako
Mikono yako ikawe ya baraka na si yakupokea tu bali ikatoe na kwa wengine wanaohitaji.
ubarikiwe na uishi miaka mingi zaidi ukikuwa kwa busara na unyenyekefu siku zote!
We love you than ice-cream in a desert
napata tabu na hiki kipicha chako kama fisi asubirivyo mikono ya binadamu anavyotembea akiamini itaanguka ndivyo ninvyosubiri ugeuke!Happy birthday dear ishi vile umpendezavyo Mungu
Pole mkuu sio mimi huyo usipate shida burenapata tabu na hiki kipicha chako kama fisi asubirivyo mikono ya binadamu anavyotembea akiamini itaanguka ndivyo ninvyosubiri ugeuke!
Jina lako Leejay49 , ume reverse 94 ,mpaka kuwa , 49 , so A,E,I,O,U , happy birthday mtoto mzuri , enjoy your. 29 years old of you , ukitaka ,mume nipo hapa although just 4 months apart too mzee ........Hello everyone 😊☺
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi 😊🤗
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana. I used to keep that happiness of you my parents ( I love you 😍😘)..
Pia nitoe pongezi kwa ninyi wanaJf wote ambao hamjawahi kunifanya nijute kuwepo humu😄😄...mmekuwa ni watu wakunifanya niwe na furaha muda wote, ningekua na uwezo ningefurahia na nyie wote kwenye hii siku yangu special. Nawapenda sana.
Natamani nijaze hata page kumi maana nina mengi ya kuzungumza, ila acha niishie hapa
HAPPY BIRTHDAY TO ME 🎉🥳🥳😄🎂🎈 View attachment 2699335
Itaunguza meno🤣Kwanini tusile keki sasa 😌🤔🤔
🤣🤣🤣Umeshinda unazurura JfAisee 😂😂
Happy birthday mremboHello everyone [emoji4][emoji5]
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kuendelea kuniweka hadi leo ambapo nimeongeza mwaka mwingine tena, yote ni kwaajili ya nguvu na huruma zake, maana haikuwa rahisi [emoji4][emoji847]
Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana. I used to keep that happiness of you my parents ( I love you [emoji7][emoji8])..
Pia nitoe pongezi kwa ninyi wanaJf wote ambao hamjawahi kunifanya nijute kuwepo humu[emoji1][emoji1]...mmekuwa ni watu wakunifanya niwe na furaha muda wote, ningekua na uwezo ningefurahia na nyie wote kwenye hii siku yangu special. Nawapenda sana.
Natamani nijaze hata page kumi maana nina mengi ya kuzungumza, ila acha niishie hapa
HAPPY BIRTHDAY TO ME [emoji322][emoji3060][emoji3060][emoji1][emoji512][emoji324] View attachment 2699335
Mtumie pesa, mashairi peleka shule.Happy birthday mrembo
Niwekee namba yako pm ñikuandalie shairi lako
🤣🤣🤣🤣Watu bhnMtumie pesa, mashairi peleka shule.
Joking..
Thank you