Iki ndicho kilevi kwa watu unapopata mwanya wakutokua na kazi Hawa wazungu hatarNdo hulka yangu πππππ
π€£π€£π€£π€£Tutapata tabu hapo baadae electronic hiziKazi tunafanya na jf tunashindaπππ
Unataka ndege apeperukeMtumie pesa, mashairi peleka shule.
Joking..
Hahahahaha Shairi lako tayariUsijali,, nishafanikisha zoezi[emoji4][emoji847]
Kapicha plzzz, tujiridhiahe na UZURI wako πNitakuwa mchoyo wa fadhila nisipowapongeza wazazi wangu kwajili ya siku hii maana bila wao kupendana, na kujaliana hisia za kila mmoja, walikula wakashiba wakaenjoy vya kutosha, wakafurahi hadi akapatikana mtoto mzurii, mrembo na mwenye kila sifa za kuwa msichana
Thank you ciccy Unique Flower ,, hope unajua vile nakupendagaπππ₯°πhappy birthday to you