Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Huyu Mzee ameiba matrilioni ya nchi yetu. Watoto hawana madawati Wala madarasa, hospitali hazina madawa, mishahara haipandi nk then anahukumiwa alipe bilion zaidi ya ishirini anatangulia milioni mia mbili. Are we serious? Hizo bilioni 26 zitalipwa au ametupiga?
Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?
Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?
Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.
Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.
Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?
Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?
Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.
Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.