Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

IPTL sio Mali yake ndugu Huyu jamaa nasikia alitoa shilingi 6m , akaruhusiwa kumilikai mahela ya Kwenye account ya escoro kimsingi hakuja na hela yote ya maana
Hahaha jamani muwe mnajitahidi kutafuta taarifa sahihi kabla hamjaandika humu
 
Harbinger Seth sio Mkenya ni Mhehe wa Ipogolo, Iringa
Mhehe huyo Singa singa? Sema ni mzaliwa wa Iringa sio lasima ukizaliwa Iringa uwe mhehe.
Angekuwa amejinyonga longitaimu
 
Back
Top Bottom