Sethi ni Mtanzania, mzaliwa wa Ruaha Iringa na ndio mwenye kampuni ya Ruaha Construction ya Kenya. Sethi ni tajiri mkubwa sana wa akili, hali na mali, hiyo IPTL, kile kiwanja tuu ni zaidi ya bilioni 30, bado majengo, bado mitambo. Hivyo akiwa huru, hiyo bilioni 26 japo amepewa mwaka mzima wa kulipa, lakini will make it within 6 months.
Hivyo usiwe na wasiwasi kabisa.
Kufuatia jina lako la pili, nilidhani badala ya kuandika kumhusu Sethi, nilidhani utaandika kumhusu ndugu yako JR, atendewe haki kwa kuachiwa bila masherti yoyote maana kiukweli hana kosa lolote na usikute ni karma ya mateso ya huyu mzee imechangia kumharakisha naniliu!
P