Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

haya madili yote yalifanyika kwa baraka za wakubwa hivo sioni haja ya kuwasumbua watu hawa.
Watu hao wakubwa waliofanikisha madili na kufaidika ni wanasiasa wakubwa katika serikali na kulazimisha pia wafanyabishara asilimia fulani "michango" mingine ielekezwe vyama vya siasa, shule binafsi, taasisi za kidini na NGOs fulani.
 
Nasikia bingwa kununua ma scandal makubwa ......ana akili mingi sana ....basi sawa tusubiri kitakachojiri
 
Rugemalila hataki ku negotiate na DPP anataka wamfikishe mahakamani ili akamwage mchele kwenye kuku wengi na ashasema apelekwe mahakamani ili akaseme nani aliechota mpunga ila kuna mtu analindwa thus why wanawalizimisha wa negotiate na DPP ili mambo yaishe kimya kimya...[emoji23][emoji23]
By the way tukimalizana nao kuna deni jingine la usd 180m tunadaiwa kwenye mahakama ya kimataifa kwa issue hii hii ya IPTL. Kodi zetu mimi na ww zinatakiwa huko, tusipolipa sisi watalipa watoto wetu au wajukuu zetu.
Huyu mzee ana spirit ya Lema, haha
 
Kazi ya mama yenu ni kuachia majizi yote turejee zama za upigaji, bahati nzuri enzi zimenikuta na akili na nipo kwenye reli…. ngoja kila mtu ajipigie kwa uwezo wake.
 
Ameiba ma trillions uhakika! Acha unaa! Kama unaweza kuiba nawe iba.
 
Huyu Mzee ameiba matrilioni ya nchi yetu. Watoto hawana madawati Wala madarasa, hospitali hazina madawa, mishahara haipandi nk then anahukumiwa alipe bilion zaidi ya ishirini anatangulia milioni mia mbili. Are we serious? Hizo bilioni 26 zitalipwa au ametupiga?

Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?

Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?

Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.

Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.


Serikali ndiyo imeiba hivi unajua IPTL imetaifishwa?! Thamani yake ilikuwaje hizo billion 26 zilikuwa za muda mfupi tu sio zaidi ya miezi 3.
 
Sethi ni Mtanzania, mzaliwa wa Ruaha Iringa na ndio mwenye kampuni ya Ruaha Construction ya Kenya. Sethi ni tajiri mkubwa sana wa akili, hali na mali, hiyo IPTL, kile kiwanja tuu ni zaidi ya bilioni 30, bado majengo, bado mitambo. Hivyo akiwa huru, hiyo bilioni 26 japo amepewa mwaka mzima wa kulipa, lakini will make it within 6 months.

Hivyo usiwe na wasiwasi kabisa.

Kufuatia jina lako la pili, nilidhani badala ya kuandika kumhusu Sethi, nilidhani utaandika kumhusu ndugu yako JR, atendewe haki kwa kuachiwa bila masherti yoyote maana kiukweli hana kosa lolote na usikute ni karma ya mateso ya huyu mzee imechangia kumharakisha naniliu!

P
Pasco katika ubora wako..😂😂"Kumharakisha naniliu"
 
Sethi ni Mtanzania, mzaliwa wa Ruaha Iringa na ndio mwenye kampuni ya Ruaha Construction ya Kenya. Sethi ni tajiri mkubwa sana wa akili, hali na mali, hiyo IPTL, kile kiwanja tuu ni zaidi ya bilioni 30, bado majengo, bado mitambo. Hivyo akiwa huru, hiyo bilioni 26 japo amepewa mwaka mzima wa kulipa, lakini will make it within 6 months.

Hivyo usiwe na wasiwasi kabisa.

Kufuatia jina lako la pili, nilidhani badala ya kuandika kumhusu Sethi, nilidhani utaandika kumhusu ndugu yako JR, atendewe haki kwa kuachiwa bila masherti yoyote maana kiukweli hana kosa lolote na usikute ni karma ya mateso ya huyu mzee imechangia kumharakisha naniliu!

P
Mleta mada muongozo huo hapo...
 
Huyu Mzee ameiba matrilioni ya nchi yetu. Watoto hawana madawati Wala madarasa, hospitali hazina madawa, mishahara haipandi nk then anahukumiwa alipe bilion zaidi ya ishirini anatangulia milioni mia mbili. Are we serious? Hizo bilioni 26 zitalipwa au ametupiga?

Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?

Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?

Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.

Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.
Singa hajaiba hela wewe,tumia akili basi,,yaani uibe bilioni 300,uambiwe kulipa bilion 23,,uliona wapi hiyo?,
Mhindi wa watu anadhulumika mchana kweupe masikini,,
 
Ameiba nini mkuu? Huyu ni siasa tu. Kachukua hela ambayo mliyomuambia ni zake. Baada ya miaka miwili mnasema kaiba. Au unasahau ule ubishi wapinzani walisema ni hela ya serikali nyie mkasema ni za IPTL?

Sasa kanunua kampuni, kadraw hela zake , baada ya muda mnamgeuka mnasema kaiba!
Ajabu sana,,ukiwauliza kaiba nini,hawana jibu,,hii ni dhulma,,ndo maana Rugemalila kaamua afie tu gerezani kuliko kukubali na dhulma..
 
Huyu Mzee ameiba matrilioni ya nchi yetu. Watoto hawana madawati Wala madarasa, hospitali hazina madawa, mishahara haipandi nk then anahukumiwa alipe bilion zaidi ya ishirini anatangulia milioni mia mbili. Are we serious? Hizo bilioni 26 zitalipwa au ametupiga?

Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?

Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?

Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.

Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.
Punguza kulialia we dada
Jaribu kupigania uchumi wa maisha yako
Uzi zako nyingi mtu wa kulialia

Ova
 
Alichota Bil 300+ analipa 26.9, halafu inasadikika hajafikisha miaka hata 50 ya umri, kwahiyo si mzee
Hakuchota🤣,yslikua malipo ya umeme aliotuuzia,,tuacheni dhulma
 
Hakuchota🤣,yslikua malipo ya umeme aliotuuzia,,tuacheni dhulma
Mkuu, kuna mstari humuhumu jukwaani unasema alichota, bahati mbaya sikumbuki mkeka upi ningeutandika hapa
 
Harbinger Seth sio Mkenya ni Mhehe wa Ipogolo, Iringa
Hata wew Ukienda India ukae miaka Mia huwez kuitwa muhindi mwenye asili ya Tanzania,,acha kujishusha uwe na akili,,huyu Ni muhamiaji tuu na sisi wa tz hatuna muhehe singa singa Kama huyu bro.
 
Wanaenda kama wanurudi wanarudi kama wanaenda
Ameiba nini mkuu? Huyu ni siasa tu. Kachukua hela ambayo mliyomuambia ni zake. Baada ya miaka miwili mnasema kaiba. Au unasahau ule ubishi wapinzani walisema ni hela ya serikali nyie mkasema ni za IPTL?

Sasa kanunua kampuni, kadraw hela zake , baada ya muda mnamgeuka mnasema kaiba!
 
Huyu Mzee ameiba matrilioni ya nchi yetu. Watoto hawana madawati Wala madarasa, hospitali hazina madawa, mishahara haipandi nk then anahukumiwa alipe bilion zaidi ya ishirini anatangulia milioni mia mbili. Are we serious? Hizo bilioni 26 zitalipwa au ametupiga?

Ukiisoma taarifa za Kenya it's like huyu ni raia wa Kenya na amepiga dili huko pia kabla yakuja Tanzania. Je, hapa nchini amewekeza nini tunachoweza kuuza akitiroka?

Kwa umri wake na ujanja alionao na kwa kuzingatia hukumu ya jana isiyo na masharti magumu kwake tunaamini vipi kwamba atalipa? Kwa uzee ule akigoma akikimbia nchi tutafanya Nini?

Kuna watu wameshangilia kusikia bilioni kadhaa zitalipwa, ila nadhani tunapaswa kuitaka serikali iwe inatupa updates kila zinapolipwa isijekuwa game limechezwa kati ya DPP na mahakama Mzee atoke na tusilipwe fedha iliyoamuliwa.

Sitosau nilivyodhulumiwa noha yangu kipindi cha makinikia.
Kwanza huyo singa hajaiba hata senti moja,pili huyo ni raia wa tanzanua kwao ni iringa,kenya anaishi tu
 
Back
Top Bottom