Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

Na kumbuka wakat wanamkamata miaka ile walimkamatia airport akiwa anataka kutoroka...hana jeur ya kulipa mzigo wa bil zote hzo.walisha mfilis..huyo katoka amshukuru kenyatA
 
Ila hawa jamaa rangi zimewabeba sana kupata deal za maana ukanda huu...mswahili akishaona muhind au muarab au mzungu akili yake inamwambia huyu anazo huyu na anaweza kaz kumbe tapel .
 
Mzee mnafki sana wew...kumharakisha nan...seth anadaiwa bil 200+ vip hzo keshalipa...kuhusu JR kuna kilichomponza si bure..ingawa kiukwel kes hana
 
Hypocrite.
 
Kuna kiwanja cha Bilioni 30 hapa Tanzania kweli??

Mzee mbona unaamua kutupiga kamba asubuhi yote hii.

Hii dili ya sethi ni kama tumesamehe bilioni 400 ili tulipwe bilioni 26.
 
Ni Mtanzania acheni ubaguzi nyie MATAGA, hivi tukiulizana U-Tanganyika hapa kuna atakayebaki, kuanzia Bashe na vikara-gooose vyote?
 
Swala la escoro lipo clear kabisa ndugu hukuwasikia akina msigwa na mbowe bungen , kwenye report ya PAC
Kimsingi hela ya tenseco na IPtl ndo uliyotumika tena kununua IPtl na hongo kibao
Kumbukeni hata pesa ya ESCROW siyo kwamba yote haikuwa yake. Alikuwa na mgawo wake pale tena ndio ratio kubwa.
 
Kuna kiwanja cha Bilioni 30 hapa Tanzania kweli??

Mzee mbona unaamua kutupiga kamba asubuhi yote hii.

Hii dili ya sethi ni kama tumesamehe bilioni 400 ili tulipwe bilioni 26.
400B Kivipi ?
 
Naona umnui huyu mtu, endelea kudhani Ni Mtanzania na kazaliwa iringa kwa kudanganywa na reporters.
Msome Seth huko Kenya na South Africa utagundua Ni kiumbe wa aina gani na raia wa wapi?

Soma hati yake ya mashtaka ujua uraia wake ,tafiti kuhusu unazodhani Ni Mali zake Kama ujakuta wamiliki wengine. Huyu Ni mwizi abayetumia wanasiasa

Kuhusu Ruge Wala sidhan Kama anapaswa kutetewa Ni mwizi tu Kama wez wengine.tusilete ukabila kwenye wizi, mwizi abaki kuwa mwizi.
 
Hivi aliingizabhasara ya sh ngapi ili hiyo faini iwe sawa.Mimi naona kama jamaa alipiga zaidi.ni sawa na kusababisha ajali kubwa iliyoingiza hasara ya milion 2 halafu ukaandikiwa faini ya barabarani sh 30,000
 
Mataga awamu hii Hanna chenu [emoji23][emoji23].
 
Kuna kiwanja cha Bilioni 30 hapa Tanzania kweli??

Mzee mbona unaamua kutupiga kamba asubuhi yote hii.

Hii dili ya sethi ni kama tumesamehe bilioni 400 ili tulipwe bilioni 26.
Na deni la standard chartered bank Malaysia mdhamini pia itabidi tulipe maana kuna guarantee ya serekali joy ya deni hilo
 
Pole kwa kukosa Noah ya Makinikia, Utapata Coaster ya Tanzanite.
 
Aliiba kwa kushirikiana na viongozi wetu
 
Unayo hoja, but je zile pesa ni za umma? Maana tangu kipind kile mara viongozi waseme sio pesa ya umma. So ni vyema tujue hilo
 
Rugemalila hataki ku negotiate na DPP anataka wamfikishe mahakamani ili akamwage mchele kwenye kuku wengi na ashasema apelekwe mahakamani ili akaseme nani aliechota mpunga ila kuna mtu analindwa thus why wanawalazimisha wa negotiate na DPP ili mambo yaishe kimya kimya...[emoji23][emoji23]
By the way tukimalizana nao kuna deni jingine la usd 180m tunadaiwa kwenye mahakama ya kimataifa kwa issue hii hii ya IPTL. Kodi zetu mimi na ww zinatakiwa huko, tusipolipa sisi watalipa watoto wetu au wajukuu zetu.
 
Naniliu ameondoka kwa mchanganyiko wa machozi na damu za wengi
 
haya madili yote yalifanyika kwa baraka za wakubwa hivo sioni haja ya kuwasumbua watu hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…