Harbinder Sigh Seth amewekeza nini Tanzania kinacholipa fedha alizoelekezwa? Akirudi kwao Kenya itakuwaje?

haya madili yote yalifanyika kwa baraka za wakubwa hivo sioni haja ya kuwasumbua watu hawa.
Watu hao wakubwa waliofanikisha madili na kufaidika ni wanasiasa wakubwa katika serikali na kulazimisha pia wafanyabishara asilimia fulani "michango" mingine ielekezwe vyama vya siasa, shule binafsi, taasisi za kidini na NGOs fulani.
 
Nasikia bingwa kununua ma scandal makubwa ......ana akili mingi sana ....basi sawa tusubiri kitakachojiri
 
Huyu mzee ana spirit ya Lema, haha
 
Kazi ya mama yenu ni kuachia majizi yote turejee zama za upigaji, bahati nzuri enzi zimenikuta na akili na nipo kwenye reli…. ngoja kila mtu ajipigie kwa uwezo wake.
 
Ameiba ma trillions uhakika! Acha unaa! Kama unaweza kuiba nawe iba.
 


Serikali ndiyo imeiba hivi unajua IPTL imetaifishwa?! Thamani yake ilikuwaje hizo billion 26 zilikuwa za muda mfupi tu sio zaidi ya miezi 3.
 
Pasco katika ubora wako..šŸ˜‚šŸ˜‚"Kumharakisha naniliu"
 
Mleta mada muongozo huo hapo...
 
Singa hajaiba hela wewe,tumia akili basi,,yaani uibe bilioni 300,uambiwe kulipa bilion 23,,uliona wapi hiyo?,
Mhindi wa watu anadhulumika mchana kweupe masikini,,
 
Ajabu sana,,ukiwauliza kaiba nini,hawana jibu,,hii ni dhulma,,ndo maana Rugemalila kaamua afie tu gerezani kuliko kukubali na dhulma..
 
Punguza kulialia we dada
Jaribu kupigania uchumi wa maisha yako
Uzi zako nyingi mtu wa kulialia

Ova
 
Alichota Bil 300+ analipa 26.9, halafu inasadikika hajafikisha miaka hata 50 ya umri, kwahiyo si mzee
Hakuchota🤣,yslikua malipo ya umeme aliotuuzia,,tuacheni dhulma
 
Hakuchota🤣,yslikua malipo ya umeme aliotuuzia,,tuacheni dhulma
Mkuu, kuna mstari humuhumu jukwaani unasema alichota, bahati mbaya sikumbuki mkeka upi ningeutandika hapa
 
Harbinger Seth sio Mkenya ni Mhehe wa Ipogolo, Iringa
Hata wew Ukienda India ukae miaka Mia huwez kuitwa muhindi mwenye asili ya Tanzania,,acha kujishusha uwe na akili,,huyu Ni muhamiaji tuu na sisi wa tz hatuna muhehe singa singa Kama huyu bro.
 
Wanaenda kama wanurudi wanarudi kama wanaenda
 
Kwanza huyo singa hajaiba hata senti moja,pili huyo ni raia wa tanzanua kwao ni iringa,kenya anaishi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…