Ni moja yasafari yakujitegemea mkuu..iko kama MTU kuhama masikani na kwenda kupanga na then kujenga House yake .Ulicho kiandika umekisoma? Harmonize anaenda kuwa chini ya uongozi/usimamizi/managemnt chini ya jembe ni jembe sasa hapo anajenga empire ama?
Jembe ni jembe kwa kule mwanza ni Guru ana hadi radio station
Kuna wakati sisi masikini huwa atuaminiki hata kidogo. Kama aliweza kumwacha Wolper na kufuata pesa kwa mzungu. Fikiria namna Wolper alivyokuwa akidharauliwa kutoka na mwanaume mshamba wakati ule. Usishangae ayafanyayo Leo.Atakuwa bonge la fala.
Bora aage kwa amani wakubaliane tu kwamba naye inabidi apae sasa kwani amelelewa vyakutosha ila kujifanya nyota wakati wasafi ndo wamemtambulisha ulimwenguni ni dharau ambayo sisi waswahili tunaufanya lakini inamadhara makubwa sana.
Inafahamika hawezi kubaki Wasafi maisha yote kwani inabidi wasanii wengine pia wapewe fursa ya kung’aa ndo tasnia iendelee na wengine nao wapate hela ila heshima ni muhimu.
Diamond alimbeba vizuri asije akaharibu
Hakuna kitu kama hcho Popote pale penye uhai, lazima classes ziwepo Tu, Shetani alitaka kujitanua mambo yakaenda ndivyo sivyo....yaani Konde boy kama ameondoka WCB ajiandae kufight kwelikweli hakuna Rehema wala Huruma, somtyme hata ikilazimika kuua itabidi afanye hyvo..., chuki , wivu , fitina na kurogana ni sehemu ya njia atakayopitia, nyuma ya pazia Diamond alikuwa anampambania Sana ili apite Kwa mtelezo, sjajua kama analifahamu hili, mambo siyo rahisi kama tunavyofikilia , sasa amebaki alone to fend himself , na hapo ili achomoze zaidi, atalazimika kufight to death, Diamond mwenyewe amefika hapo kwa machozi na Damu...Dunia tambara bovu!!Muziki wetu haukui kwasababu hii..... labda mnisaidie, hamonize anapendwa kwasababu ya kazi zake au kwasababu ya kuwa member wa wasafi?
kama maproducer ni walewale.na sauti yake ni ileile tatizo litakalomfelisha ni lipi kama sio uchawi wa roho za kwanini kuhakikisha asongi ili isemwe sababu ni kutoka wasafi...
Tunatakiwa tuwe na wakina hamonize, kiba na mond wengi sana ila kwa tabia hizi tutabaki na wasanii walewale kila siku huku ubzunifo ukiendelea kuwa ziro.
kama anaondoka kwanini wasimpe baraka na sapoti ya huko aendapo au ndio.watakatazwa mpaka maproducer kumrekodia?
Basi haulijui game la Muziki kama haulijui hilo,Lini diamond amekuwa anamanagiwa na ruge tuanzie hapo kwanza?au inafuata story za mange kimambi.
Get rich or die tryingHakuna kitu kama hcho Popote pale penye uhai, lazima classes ziwepo Tu, Shetani alitaka kujitanua mambo yakaenda ndivyo sivyo....yaani Konde boy kama ameondoka WCB ajiandae kufight kwelikweli hakuna Rehema wala Huruma, somtyme hata ikilazimika kuua itabidi afanye hyvo..., chuki , wivu , fitina na kurogana ni sehemu ya njia atakayopitia, nyuma ya pazia Diamond alikuwa anampambania Sana ili apite Kwa mtelezo, sjajua kama analifahamu hili, mambo siyo rahisi kama tunavyofikilia , sasa amebaki alone to fend himself , na hapo ili achomoze zaidi, atalazimika kufight to death, Diamond mwenyewe amefika hapo kwa machozi na Damu...Dunia tambara bovu!!
Sijakuambia Rugs amemtengeneza Domo,ila Domo alimpiga chini Ruge na akampa dau kubwa kwenye events zake ikiwemo Fiesta ndipo walipoanza kwenda tofautiMan, huyu Ruge watu wanampa tu credit kwa sababu tumeaminishwa Ruge ndie mastermind wa kila kitu kwenye tasnia ya muziki hapa bongo! Diamond alianza na Chifu Kiumbe, na ndie naweza kusema mwenye mchango mkubwa!! Baadae Chifu Kiumbe akaamua kuachana na masuala ya burudani na kumrudia Mungu wake!! Kuona hivyo, Diamond akaenda kwa Tale kuomba amsimamie labda kwavile alikuwa anayaona mafanikio ya Tip Top Connection! Tale kwa kuona Diamond ni mkubwa sana (kwa sababu alienda kwa Tale wakati tayari yupo juu), nae akamuomba Fella washirikiane, kwa sababu Tale mwenyewe amekiri mara kadhaa kwamba role model wake yeye ni Said Fella!!
Enzi hizo, Sallam issues zake ilikuwa ni kuleta wasanii kupiga shows Bongo, na ali-base sana Nigeria! Na kwa kipindi hicho, alikuwa anam-manage Mr. Nice lakini hawakufika mbali! Kwa kuona connection za Sallam na Nigeria, ndipo Diamond akaomba amkutanishe na Davido (kama utakumbuka, Ommy Dimpoz alishawahi kuzungumzia suala la Diamond kumletea figisu kwa Davido), na hapo ikazaliwa Number One Remix!! Lakini kwavile Sallam alishaanza kum-manage Mr. Nice na hawakufika mbali, connection yake kwa Davido ikazaa u-manager, huku Diamond akitaka kutumia fursa aliyonayo Sallam kwa Nigerians!!
So, sikatai kwamba Ruge ametoa mchango wa hapa na pale, lakini mchango mkubwa kabisa kwa Diamond umeanzia kwa Chifu Kiumbe ambae ndie alilipia albamu mzima, kisha akina Sallam, Tale, na Fella bila kumsahau Bob Junior ambae alimrekodia Nenda Kamwambie for free!!!
Diamond wakati ana-hustle, aliwahi kwenda pale THT, lakini "akatolewa nduki" kwa kigezo kwamba hajui kuimba!! Hapa tukumbushane kwamba, THT ilikuwa chini ya Ruge huyo huyo tunayeambiwa kwamba kama si yeye, Diamond asingefika pale alipo!!! Mchango wowote wa Ruge ulikuja baada ya kuwa Diamond ameshatengenezwa na kuwa mkubwa Tanzania. Inawezekana sana ukaribu wa Sallam (enzi hizo) na Clouds ndio ulifanikisha Diamond kuwa na Sallam! Lakini kama ndivyo, je lile suala la Mr. Nice na Sallam na lenyewe lililetwa na Clouds?!
Kwa historia ya THT, ni Barnaba ndie alibebwa na mbeleko ya Ruge kwa sababu na yenyewe alitolewa nduki live lakini Ruge akawaambia nafasi nyingine! Ni kutokana na hilo, ndio maana Barnaba alilia sana kwenye msimba wa Ruge!!
Diamond alikuwa na manager wake wa kwanza ambaye anaitwa papa misifa before hajawa na Papa misifa aliwahi kwenda THT kuomba kujiunga na alienda na barnaba lakini alikataliwa na ruge but barnaba ndoalikubaliwa baadae so diamond akaamua afight kivyake ndo baadae akampata papa misifa baadae akaacha nae ndo akampata Babu tale so huyo aliyesema diamond alikuwa chini ya management ya ruge kakudanganya.Basi haulijui game la Muziki kama haulijui hilo,
Si kweli, tafuta interview wakati anampa gari mzee ngurumo management gani ndio ilimwambia mpe gari au nani alimuunganisha na DavidoHivi huyu Ruge mnayesema ndie alimtengeneza Diamond, alimtengeneza lini?! Man, kabla Diamond hajawa chini ya akina Tale, alikuwa na Chifu Kiumbe na sio Ruge!!
Tatizo ni lako hujaelewa nilichoandika. Em rudia tena kusoma au kama nilipochanganya ngeli kunakupiga chenga sema usaidiwe kutafsiriDuu umesoma ulichoandika kweli?? Umeona wapi mtu anawekeza sehemu isiyo na faida.
Diamond hajawahi kuwa chini ya ruge kabisa zaidi ya papa misifa babutale,sallam na mkubwafela au ujui maana management?Si kweli, tafuta interview wakati anampa gari mzee ngurumo management gani ndio ilimwambia mpe gari au nani alimuunganisha na Davido
Umeongea vizuri Sana mzee👍👍Muombeeni atusue tunataka tuwe na wanamuziki wengi wenye mafanikio hii habari ya dimond na kiba inatosha
Aliyemuunganisha Mondi na Davido ni Sallam Sk na ndio aliyeipeleka na kuforce number one kupata airtime Trace Nigeria baada trace ya SA kumbania.Si kweli, tafuta interview wakati anampa gari mzee ngurumo management gani ndio ilimwambia mpe gari au nani alimuunganisha na Davido
Harmonize ndo atakae poteza maana amekubali kusimamiwa na mtu ambae redio yake haisikiki hata Dodoma, Dar, Arusha etc...maana yake huyo Jembe connection hanaSijui ni damu ya enterpreneurship au ni nn lakin sipendi mtu anaepiga chini ya mkanda...huyu jembe ni jembe anakosea sana mtu katengenezwa mpaka kawa hivyo then unaanza lobbying na hatimae atamtupa tu..mbaya sana...kwenye biashara mtu wa namna hii sipatani nae kabisa
.....jamaa ataivunja wasafi in a Half...Believe me !
Sasa baada ya Ruge kumuunganishia collabo Diamond kwa Davido; alifanya hivyo kwa wasanii wangapi wengine kutoka THT ambayo ndo ilikuwa chini ya Ruge?! Acha uongo bhana, ni Sallam ndie alikuwa ana link na wasanii wa Nigeria! Na hata huyo Sallam sio kwamba alimuunganishia bure, bali alilipa kufanya collabo na Davido kwa sababu wakati huo Diamond hakuwa chini ya Sallam!Si kweli, tafuta interview wakati anampa gari mzee ngurumo management gani ndio ilimwambia mpe gari au nani alimuunganisha na Davido
Kuna sehemu nimeandika Ruge ndio amemtoa Mondi?usijitungie swaliDiamond alikuwa na manager wake wa kwanza ambaye anaitwa papa misifa before hajawa na Papa misifa aliwahi kwenda THT kuomba kujiunga na alienda na barnaba lakini alikataliwa na ruge but barnaba ndoalikubaliwa baadae so diamond akaamua afight kivyake ndo baadae akampata papa misifa baadae akaacha nae ndo akampata Babu tale so huyo aliyesema diamond alikuwa chini ya management ya ruge kakudanganya.
Exactly, Papa Misifa! Nimechanganya nikasema Chifu Kiumbe!!!Aliyemuunganisha Mondi na Davido ni Sallam Sk na ndio aliyeipeleka na kuforce number one kupata airtime Trace Nigeria baada trace ya SA kumbania.
Kama hujui AY na Sallam Sk ndio walio mleta Davido Fiesta kupitia kampuni yao ya Unit Entertanment ambao pia Sallam Sk na Ay walikuwa mawakala wa Psquare EA.
Sasa hivi Sallam ni anameneji Kazi za Wizkid EA na Sunday meneja wa WizKid ana meneji kazi za Diamond West Africa.
Mahusioano ya Ruge yalianza baada ya Ruge kuona potential ya kibiashara kwa Diamond.
Mondi alikataliwa THT,Papa Misifa ndiye alimchukua na kuwekeza hela zake kwa Diamond na akampeleka kwa Bob Junior,Bob akambadilisha akawa mwimbaji.
Meneja wa pili Mondi ni mmiliki wa I-View,baada ya hapo akaja Fella na Tale na Mondi aka propose Sallam Sk ameneji kazi zake nje ya nchi baada ya kugundua collabo zote alizofanya AY nyuma yake alikuwa Sallam Sk ,ambaye huko nyuma alikuwa meneja wa Ay.
Sallam ndio anayesimamia kazi za nje na kumlink Diamond na mapromota mbalimbali Africa na ndio maana kazi za Diamond zinafika mbali na kila muda yupo booked nchi mbali mbali hawa akina Tale na Fella zone yao ni EA.
Refer uzi wa 2016.
Huyu Sallam kumbe ndio kila kitu kwa Diamond
AFUNGUKA KILA KITU DIAMOND Platinumz ni mwanamuziki mkubwa Afrika, inatajwa kuwa msanii huyo ana timu nzuri nyuma yake ambayo imemwezesha kupata mafanikio mengi makubwa. DIAMOND Ukiachana na Said Fella na Babu Tale, kuna mtu anaitwa Sallam ambaye inaaminika ni mmoja wa watu muhimu katika...www.jamiiforums.com