Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?

InShot_20230315_100509644.jpg
 
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.

Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.

Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?
 
Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.

Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.

Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?
We dini gani na kama huna dini. Kagoogle kusudu nini?
 
Unajua jamii huwa unawadanganya watu na kuwaaminisha kinyume.

Image mtu kuuwa uraiyani anaita mtu hatari, na mtu huyohuyo kuuwa maelfu kwenye vita anaitwa shujaa.

Umejuaje hiyo ni ishara ya kusujudu?
Hahahaha!!! Nahisi tafsiri tu na mtizamo wake ndo anataka uwe wa jamii nzima, unaweza sema kitu frani NI dhambi then kwa wengine ikawa kinyume chake.
 
Bange mbaya sana, madawa ya kulevya na kutrend vonawatoa akili sana hawa vijana wanafanya mambo ya hovyo
 
Back
Top Bottom