Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Ingekuwa unajua usingeuliza swali la kipuuzi kama hilo hata mimi ningeamua kuingia Google kukuwekea link au kuchukua screenshot na kuipachika kama jibu but why go through all that shit kwa kitu ambacho kama hata angalau una punje ya uelewa unaweza kukifanya mwenyewe.
narrow minded! [emoji16][emoji16]
 
Unawapa pole kwa kuquote comment yangu? Unawashwa?
Ndo maana ukifa hatufuti nyuzi zako n'a wala wanao hatorith akaunt yako hiyo ni mali ya umma .ndo maana hujajiita jina lako.tatizo unadhan hapa insta
 
Inasikitisha sana, lakini ‘ukiona mambo kama haya yasiyo ya kawaida machoni pa wengi basi jua kuwa kuna jambo ambalo si la kawaida pia’.
Celebrities wana vioja na viroja na pia huwa hawadumu katika mahusiano na wapenzi wao !! Nadhani huwa hawapati peace of mind katika maisha yao ! I don’t know why !!
 
Jaman nisaidieni kumwambia mama huku Moshi Kilimanjaro tunateseka na vumbi Barabara mbovu asichezee pesa aje atujengee miundombinu
 
Back
Top Bottom