Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Usiwe ni mtu wakukariri kile uchofundishwa au kukisoma bila ya kuongeza na chakwako.

Mfano. Nikikuuliza moja jumlisha moja utaniambia ni mbili, kwasababu utasema ukichukua kitu kimoja na kingine vitakuwa viwili. Sasa nikikuambia aliyekuambia moja jumlisha moja ni mbili utakataa, huwezi kukataa kasababu aliyekufundia moja jumlisha moja aliona una uwezo mdogo wa kuelewa kwaiyo akakukaririsha na wewe ukakariri hivyo hivyo kutokana na uwezo wako mdogo wakufikiri kipindi icho na wewe ukajua n kweli moja jumlisha moja ni 2
tuna vijana wenye akili za bange kweli we uliyefundishwa moja jumlisha moja ni ngapi vile 👤📌 we kilaza sana. Umezaliwa ungekuwa umeshuka toka mbinguni sawa.... ila we maji mix manii afu unaongea upuuzi. Kingine.... huna hata maarifa yyte utumwa unakusumbua kijana.
 
Nimekuuliza wewe kwani me sijui kama kuna google translator au kamusi?
Ingekuwa unajua usingeuliza swali la kipuuzi kama hilo hata mimi ningeamua kuingia Google kukuwekea link au kuchukua screenshot na kuipachika kama jibu but why go through all that shit kwa kitu ambacho kama hata angalau una punje ya uelewa unaweza kukifanya mwenyewe.
 
Mwachen kijana katafuta anataka akojoe pazuri hizo ni tecknic za uwindaji wala hajasujudu kwan madam hapendi range rover
 
Uliposema tu "Wamakonde mnafeli wapi?" nikaona kua hata wewe umefeli,kwani Hamonize ndio anawakilisha wamakonde wote? kama ni lawama basi zielekeze kwa muhusika pekee na sio kwa jamii yake nzima.
Poleni sana wamakonde
 
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?

View attachment 2552126
Nakumbuka kuna sehemu raisi wetu samia alikwenda kule ,
Lakini kunawanawake wakionekana kugalagala na hakuna alie swma kana ulivo sema hapa ko kunavitu mtu anafanya kwa emotion na laha pia kumfurahisha mtu ili ajione kweli anaheshimika na kupendeka pia ko tusiwe tuna judge vitu vidodgo kama hivi 😎
 
Konde anataka nzigo.
Hapo anantega hy mwananke.
 
Back
Top Bottom