Chawa wa chuma
Member
- Jan 24, 2023
- 56
- 37
anakwenda kuumia sasaUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anakwenda kuumia sasaUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Magoti na kusudu ni tofauti kwahiyo huyo mchumba akeMbona Huwa mnawapigia magoti wachumba zenu wakati wa kuvalishana pete
Kwahiyo hilo ni swala la kikabila, Wamakonde walikaa kikao, wakapendekekeza Harmonize afanye hivyo.Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako [emoji116] sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Na wale wanaosujudu, kwwnye matukio ya mpira, wanamsuhudia nani.matokeo yake utayaona mungu hafananishwi na binadamu
Wamakonde mnashida kdogo asee , kwenye saw la mafanikio na kuw smart huw hamjuiKwahiyo hilo ni swala la kikabila, Wamakonde walikaa kikao, wakapendekekeza Harmonize afanye hivyo.
Watu wa hovyoWamakonde mnashida kdogo asee , kwenye saw la mafanikio na kuw smart huw hamjui
Ha ha ha.... [emoji38]Anataka kumla tu, Kajala si alimsujudia hivyo hivyo!
Na wale wanaosujudu, kwwnye matukio ya mpira, wanamsuhudia Muumba.
KusujuduInategemea tu ww umetafsiri vipi. Yeye ameonyesha tu kumkubali au kumheshimu.
Tatizo lipo kwako.
Ungemwambia "wee em koma futa iyo" kwa sauti ya Rushayna [emoji1]Wee Sio wamakonde wote shindwaa