Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Hii habari ya muda sana tokea mwaka jana na watu wameshajadili swala hili anyway alichokifanya ni kitendo cha hovyo sana.
 
Thibitisha Mungu yupo kwanza.

Bora hata huyo madam tunaweza kujua yupo.
 
Huyu mtoto mziki umemshinda kabisa sasa hivi anahangaika na Kiki nazo zimebuma,unaona anaishia kukufuru.
 
Hizo ni swaga tu, angekuwa anamuabudu kwa kumsujudia sawa
 
Back
Top Bottom