Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea ntu nantuWee Sio wamakonde wote shindwaa
NakubarianaInasikitisha sana, lakini ‘ukiona mambo kama haya yasiyo ya kawaida machoni pa wengi basi jua kuwa kuna jambo ambalo si la kawaida pia’.
Hamonise ndo nani?yaani kosa la hamonise ndo wamakonde wote wamefeli? acha ujumuishi
Wewe unaweza kuthibitisha uwepo wa nguvu ya umeme(electric field) au uwepo wa umeme tuuThibitisha Mungu yupo kwanza.
Bora hata huyo madam tunaweza kujua yupo.
.Mbona Huwa mnawapigia magoti wachumba zenu wakati wa kuvalishana pete
Umeme ni nini?Wewe unaweza kuthibitisha uwepo wa nguvu ya umeme(electric field) au uwepo wa umeme tuu
Umeme hauonekani lakini effect yake inaonakana the same Mungu haonekani lakini effect yake inaonekanaKwani mimi wapi nimesema umeme upo? Unaniambiaje nithibitishe kitu ambacho hata sijasema kipo?
Nikishindwa kuthibitisha umeme upo, hilo ndiyo linathibitisha Mungu yupo?
Umethibitisha Mungu yupo?
Hii ni celebrity page, yapo majukwaa ya kilimo, uvuvi, ujasiriamali au hata ya siasa. Ukiwa pande hizi this is the right topic.Mambo ya udaku wa IG unayaleta na huku [emoji848]
Huyo anayemsujudia huyo bibie kwenye hiyo picha.Hamonise ndo nani?
Umeelewa nilichomaanisha lakini au umekurupuka tu kunijibu..?Hii ni celebrity page, yapo majukwaa ya kiliko, uvuvi, ujasiriamali au hata ya siasa. Ukiwa pande hizi this is the right topic.
Habari ya zilipendwa mbona hiiUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Tatizo, mmekariri mafundisho ya Mila za kiarabu na kiyahudi ya zamaani. Eti kusujudia,hapo kaonyesha ishara ya kumshukuru tuuUnamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha.
Wamakonde manafeli wapi?
View attachment 2552126
Kusujudu ndo kufanya nini??Huyo anayemsujudia huyo bibie kwenye hiyo picha.
Mkuu umeme umeanza kuutaja wewe, mimi sikuutaja.Umeme hauonekani lakini effect yake inaonakana the same Mungu haonekani lakini effect yake inaonekana
Usiwe ni mtu wakukariri kile uchofundishwa au kukisoma bila ya kuongeza na chakwako.We dini gani na kama huna dini. Kagoogle kusudu nini?