Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

Sasa Shehe, unaweza kuona makosa ya mwenzio, bila kuona ya kwako. Unatumia picha ya kike, kwa jina la kiume hili hulioni.
 
Huyu madam ukikutana nae uso Kwa uso, kweli camera zinadanganya sana
 
Mbona Huwa mnawapigia magoti wachumba zenu wakati wa kuvalishana pete
.
Screenshot_20230307-104441.jpg
Screenshot_20230307-112838.jpg
 
Wewe unaweza kuthibitisha uwepo wa nguvu ya umeme(electric field) au uwepo wa umeme tuu
Umeme ni nini?

Kwani mimi wapi nimesema umeme upo? Unaniambiaje nithibitishe kitu ambacho hata sijasema kipo?

Nikishindwa kuthibitisha umeme upo, hilo ndiyo linathibitisha Mungu yupo?

Umethibitisha Mungu yupo?
 
Kwani mimi wapi nimesema umeme upo? Unaniambiaje nithibitishe kitu ambacho hata sijasema kipo?

Nikishindwa kuthibitisha umeme upo, hilo ndiyo linathibitisha Mungu yupo?

Umethibitisha Mungu yupo?
Umeme hauonekani lakini effect yake inaonakana the same Mungu haonekani lakini effect yake inaonekana
 
Umeme hauonekani lakini effect yake inaonakana the same Mungu haonekani lakini effect yake inaonekana
Mkuu umeme umeanza kuutaja wewe, mimi sikuutaja.

Na mimi sikatai uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani, kwani wapi nimekwambia nakataa uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani?

Hujathibitisha Mungu yupo mpaka sasa, unaelewa hilo?

Unaacha kujibu swali langu (thibitisha Mungu yupo) unaenda kujitungia maswali yako ya habari za kuonekana kwa Mungu, kwani wapi nimekwambia nataka Mungu aonekane na huo ndio uwe uthibitisho Mungu yupo?

Unaweza kunionesha sehemu hiyo?
 
We dini gani na kama huna dini. Kagoogle kusudu nini?
Usiwe ni mtu wakukariri kile uchofundishwa au kukisoma bila ya kuongeza na chakwako.

Mfano. Nikikuuliza moja jumlisha moja utaniambia ni mbili, kwasababu utasema ukichukua kitu kimoja na kingine vitakuwa viwili. Sasa nikikuambia aliyekuambia moja jumlisha moja ni mbili utakataa, huwezi kukataa kasababu aliyekufundia moja jumlisha moja aliona una uwezo mdogo wa kuelewa kwaiyo akakukaririsha na wewe ukakariri hivyo hivyo kutokana na uwezo wako mdogo wakufikiri kipindi icho na wewe ukajua n kweli moja jumlisha moja ni 2
 
Back
Top Bottom