Harmonize amemkosea Mungu sana kwa hili alilolifanya

narrow minded! [emoji16][emoji16]
 
Unawapa pole kwa kuquote comment yangu? Unawashwa?
Ndo maana ukifa hatufuti nyuzi zako n'a wala wanao hatorith akaunt yako hiyo ni mali ya umma .ndo maana hujajiita jina lako.tatizo unadhan hapa insta
 
Inasikitisha sana, lakini ‘ukiona mambo kama haya yasiyo ya kawaida machoni pa wengi basi jua kuwa kuna jambo ambalo si la kawaida pia’.
Celebrities wana vioja na viroja na pia huwa hawadumu katika mahusiano na wapenzi wao !! Nadhani huwa hawapati peace of mind katika maisha yao ! I don’t know why !!
 
Jaman nisaidieni kumwambia mama huku Moshi Kilimanjaro tunateseka na vumbi Barabara mbovu asichezee pesa aje atujengee miundombinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…