Itakua CYe ni kikosi b au c
Labda ya nyumaMmmh wolper alikuja dar na bikra?
Ahahahahahah ila wolper na hamo huwa wananichekesha sanaItakua C
[emoji848][emoji848][emoji848]Mmmh wolper alikuja dar na bikra?
Wameachana kwa vitaAhahahahahah ila wolper na hamo huwa wananichekesha sana
Anataka nikojoe tu hapa huyuLabda ya nyuma
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Anataka nikojoe tu hapa huyu
Vita ni vita muraaWameachana kwa vita
Fita ni fitaVita ni vita muraa
Bita ni bitaaFita ni fita
Hebu nifundishen na mm nipende udakuuu wa kina HarmonizeAnataka nikojoe tu hapa huyu
Wewe unamsikiliza mange kila asemacho unakimeza mazima?vipi ajasema lolote kuhusu smell?!
Mwanaume anaendaga unyagoni?Njomba nchumali amekosea sana na amewakosea alio wataja...hii si njia nzuri anayo paswa kutumia mwanaume kulumbana na mwanamke....
Hii njia inaweza mgombanisha Harmonize na alio wataja....
Kwakweli kati ya jambo ambalo anatakiwa kuwa makini nalo mwanaume ni jinsi ya kulumbana na mwanamke...
Harmonize amekosea na sasa yeye ndio ameonesha si mwanaume kamili wa kimakonde mwenye chale na aliye kwenda unayagoni maana amedhihirisha hana kifua kabisa...
Kwa kweli Harmonize amejidhalilisha na kuwadhalilisha alio wataja labda kama alipata ridhaa yao.
Hakuna ambaye alikuwa hajui hiyo list tena kuna watu kawasahau lakini katika hili Harmonize ameonekana ni mjinga sana...
Njia pekee mwanaume anaweza kutumia kulumbana na mwanamke ni kukaa kimya...
Hahahahaahahah uwiii haupogo instaHebu nifundishen na mm nipende udakuuu wa kina Harmonize
dahhhh kitambo hilo magazine sijui limepotelea wapi aiseeeJikumbushe hii,2007 hiyo jarida la Bab Kubwa huyu demu kaanza umalaya kitamboView attachment 769570
kwani huyo saraha hajapigwa ukuni kweli na mwarabu ??Kosa kubwa hapo kafanya Wolper, amemdhalilisha sana Harmonize na Sarah
kwa hiyo wewe ulikuwa unadhani kuwa harmo anajielewa duhhh basi kaziBwana mdogo mpumbavu sana. Mwanaume anayejielewa hawezi andika upupu kama huo.